Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
I am[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] you can't be serious bro
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I am[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] you can't be serious bro
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa cha habari hakiendani na ulichoandika KILAZA WEWEKuna Jamaa anataka nimpe mtaji wa pesa kama laki3 anataka kuanzisha kibanda cha kuuza mafuta ya petrol na Oil lkn kila nikiiangalia hiii biashara faida yake ndogo sana
Lita moja filling station inauzwa 2,440 kwa Dungu LA Lita 20 jumla 48,800
Ukija kuuza mtaani bei ya Lita moja 2,700 kwahiyo kila Lita moja unapata faida ya 260
Ukiweka mtaji wa 244,000 sawa na mdungu 5 ya petrol unapata faida ya Tsh 26,000 ghalama ya usafili Tsh 10,000 kwa madungu 5
Kwahiyo mdungu 5 yakichukua siku3 na jamaa akila 2000 kila ck ndani ya siku izo 3 inakua 6,000 mtaji wa 244,000 nisubiri faida ya 10, 000 Alf tupo 2 sote tugawane hiyohiyo pesa na jamaa anaweza mwanzo akawa muaminifu lkn mwisho wa siku akiona biashara imesimama antaanza usanii
Kiukweli nahitaji sana michango yenu wana jamvi
Nahitaji maoni yenu
Sent using Jamii Forums mobile app