Siamini naanza kuacha uhuni, umalaya, ubazazi na ubaradhuli. Huyu mtoto nimemuibua humu humu JamiiForums

Mashavu yake yote ???!!!

aiiiiseeee kweli wakubwa mnafaidi
 
ndugu.. mimi umri wangu sidhani kama unanifikia. ila unapaswa tu uelewe ni mtu ambaye umri wangu umeenda sana sema sionikani kama umri umeenda sana sababu y amatunzo mazuri. nakula na kunywa vizuri. sina stress na sibebi chuki. nashiriki katika mazoezi n.k ila usije mkadhani mimi ni kama hut tuvijana tudo tudogo. mdogo wangu wa mwisho ana miaka 34. kidogo nadhani unaweza vuta picha.
Si amempata Mama Sabrina au Dinazarde wa shinyanga! Unajua mtu kama GuDume ni kunguru hafugiki umri bado unaihitaji kutesti k za kila aina
 
Ngoja weekend hii nivute 1M nimiliki mzigua90. [emoji1] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
 
inawezekana hata huu uzi umempa auedit, maana huu sio mwandoko wako kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…