Hatujuani ila maandiko yako ndiyo yanaonyesha kama wewe ni mvulana au mwanaumendugu.. mimi umri wangu sidhani kama unanifikia. ila unapaswa tu uelewe ni mtu ambaye umri wangu umeenda sana sema sionikani kama umri umeenda sana sababu y amatunzo mazuri. nakula na kunywa vizuri. sina stress na sibebi chuki. nashiriki katika mazoezi n.k ila usije mkadhani mimi ni kama hut tuvijana tudo tudogo. mdogo wangu wa mwisho ana miaka 34. kidogo nadhani unaweza vuta picha.
Daaah nisameheni mkuuaiseeeee da Vince sikuhiz acc yako imedukuliwa !??
Daaah nisameheni mkuuaiseeeee da Vince sikuhiz acc yako imedukuliwa !??
Naumwa sana rafiki leo sijaenda kabisa..Sawa rafiki. Uwahi njia ya msalaba leo
Poleee.Daaah nisameheni mkuu
Naumwa sana rafiki leo sijaenda kabisa..
haina shidaDaaah nisameheni mkuu
Thanks be blessed DearPoleee.
Leo upo kiwanja gani bestie...Poleee.
Nimetoka 777 sasa hivi naenda mitaa ya mbezi kidogo.Leo upo kiwanja gani bestie...
Nimetoka 777 sasa hivi naenda mitaa ya mbezi kidogo.
Hahahaa. Karibu na home halafu nimepazoea sana.Ooh triple unakupenda sana naona....
Nipo Heineken House nakula bia then nifikirie nitaenda wapi?
Itabidi siku moja nikiwa na ratiba ya kuja hapo.... nikupe ratiba mapema bestie tuburudike maana maisha yenyewe ndio haya.....Hahahaa. Karibu na home halafu nimepazoea sana.
hahahaha kweli huyo angeniteka hata mmha ha ha.. mwenye moyo mgumu lakini laini, mwenye macho makali ya kuona ndani lakini mapole kwa kuona nje... mwenye uzuri wa waridi. aliyeogea maji ya majani ya mkaratusi.. mwenye uzuri wa tausi..... sauti ya chiriku.... mwendo wa maringo kama twiga atembeapo kati kati ya msitu... amejawa maneno matamu ya kumtoa nyoka pangoni. hana makuu mwenye moyo wa huruma na upendo wa asili....
Maisha mafupi kweli. Niko Juliana Mbezi Beach saa hiiItabidi siku moja nikiwa na ratiba ya kuja hapo.... nikupe ratiba mapema bestie tuburudike maana maisha yenyewe ndio haya.....
Sure sure bestie... enjoy life to the fullest...." Maybe twaweza kutana hata leo nimekuja opposite hapa kupata mdudu mara moja.... ile sehemu uliyoniambia that day ndio nimeiona leo nilikuwa napapita dailyMaisha mafupi kweli. Niko Juliana Mbezi Beach saa hii
Heheheee. Umenikumbusha hapo. Wana samaki wao mmoja wanampika vizuri sana. Tunaweza kumbana nisipoboeka mapema huku nje maana mi nina gubu sikawii kuzira nikarudi kulala.Sure sure bestie... enjoy life to the fullest...." Maybe twaweza kutana hata leo nimekuja opposite hapa kupata mdudu mara moja.... ile sehemu uliyoniambia that day ndio nimeiona leo nilikuwa napapita daily
Karibu sana utanikuta hapa.... maana ndio inachomwa huko ndani thou utanikuta na jamaa zangu kadhaa...Heheheee. Umenikumbusha hapo. Wana samaki wao mmoja wanampika vizuri sana. Tunaweza kumbana nisipoboeka mapema huku nje maana mi nina gubu sikawii kuzira nikarudi kulala.
Hahahaaa. Nikitoka mbezi ndo nitajua uwezo wangu wa kuwa nje ama nirudi kulala.Karibu sana utanikuta hapa.... maana ndio inachomwa huko ndani thou utanikuta na jamaa zangu kadhaa...
Your warmly welcome ukija kuna heinken zako 4.....
Haina tatizo mkuu... ila zitakuwepo hata tusipoonana nitazi double zitakuwa 8.....Hahahaaa. Nikitoka mbezi ndo nitajua uwezo wangu wa kuwa nje ama nirudi kulala.
Mama weee. Unataka unipe Heineken 8 ili unifanye nini lakini? [emoji23][emoji23][emoji23]Haina tatizo mkuu... ila zitakuwepo hata tusipoonana nitazi double zitakuwa 8.....
Ukitaka na usafiri nitakupeleka mpaka nyumbani sina shida na wewe as long we are friends its ok with me.....[emoji4] [emoji4]Mama weee. Unataka unipe Heineken 8 ili unifanye nini lakini? [emoji23][emoji23][emoji23]