Siamini naanza kuacha uhuni, umalaya, ubazazi na ubaradhuli. Huyu mtoto nimemuibua humu humu JamiiForums

Siamini naanza kuacha uhuni, umalaya, ubazazi na ubaradhuli. Huyu mtoto nimemuibua humu humu JamiiForums

ndugu.. mimi umri wangu sidhani kama unanifikia. ila unapaswa tu uelewe ni mtu ambaye umri wangu umeenda sana sema sionikani kama umri umeenda sana sababu y amatunzo mazuri. nakula na kunywa vizuri. sina stress na sibebi chuki. nashiriki katika mazoezi n.k ila usije mkadhani mimi ni kama hut tuvijana tudo tudogo. mdogo wangu wa mwisho ana miaka 34. kidogo nadhani unaweza vuta picha.
Hatujuani ila maandiko yako ndiyo yanaonyesha kama wewe ni mvulana au mwanaume
 
ha ha ha.. mwenye moyo mgumu lakini laini, mwenye macho makali ya kuona ndani lakini mapole kwa kuona nje... mwenye uzuri wa waridi. aliyeogea maji ya majani ya mkaratusi.. mwenye uzuri wa tausi..... sauti ya chiriku.... mwendo wa maringo kama twiga atembeapo kati kati ya msitu... amejawa maneno matamu ya kumtoa nyoka pangoni. hana makuu mwenye moyo wa huruma na upendo wa asili....
hahahaha kweli huyo angeniteka hata mm
 
Maisha mafupi kweli. Niko Juliana Mbezi Beach saa hii
Sure sure bestie... enjoy life to the fullest...." Maybe twaweza kutana hata leo nimekuja opposite hapa kupata mdudu mara moja.... ile sehemu uliyoniambia that day ndio nimeiona leo nilikuwa napapita daily
 
Sure sure bestie... enjoy life to the fullest...." Maybe twaweza kutana hata leo nimekuja opposite hapa kupata mdudu mara moja.... ile sehemu uliyoniambia that day ndio nimeiona leo nilikuwa napapita daily
Heheheee. Umenikumbusha hapo. Wana samaki wao mmoja wanampika vizuri sana. Tunaweza kumbana nisipoboeka mapema huku nje maana mi nina gubu sikawii kuzira nikarudi kulala.
 
Heheheee. Umenikumbusha hapo. Wana samaki wao mmoja wanampika vizuri sana. Tunaweza kumbana nisipoboeka mapema huku nje maana mi nina gubu sikawii kuzira nikarudi kulala.
Karibu sana utanikuta hapa.... maana ndio inachomwa huko ndani thou utanikuta na jamaa zangu kadhaa...

Your warmly welcome ukija kuna heinken zako 4.....
 
Back
Top Bottom