Siamini naanza kuacha uhuni, umalaya, ubazazi na ubaradhuli. Huyu mtoto nimemuibua humu humu JamiiForums

Nipe mbinu mkuu nateseka huku
 
mbinu ni kuwa mtulivu, mkweli na muwazi. kuwa mtulivu na mwenye tabia njema kama mimi.. kuwa mkweli na muwazi utapata mdada ambaye anapenda watu real kabisa siyo fake... usiwe mwanaume wa kichina.
Nipe mbinu mkuu nateseka huku
 
mbinu ni kuwa mtulivu, mkweli na muwazi. kuwa mtulivu na mwenye tabia njema kama mimi.. kuwa mkweli na muwazi utapata mdada ambaye anapenda watu real kabisa siyo fake... usiwe mwanaume wa kichina.
mmmmh kichina
 
mbinu ni kuwa mtulivu, mkweli na muwazi. kuwa mtulivu na mwenye tabia njema kama mimi.. kuwa mkweli na muwazi utapata mdada ambaye anapenda watu real kabisa siyo fake... usiwe mwanaume wa kichina.
Gudume nakupenda kwenye wivu wajinyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…