Endeleeni kukulana tu jamani maisha yenyewe mafupi hayandugu zanguni (leo hata namna ya kuwa address imebadilika) nashukuruni sana kwa kweli... mtoto kaumbika... mashavu yake yote yanaonekana kuwa na mvuto,sura ya yai,lips za mfuto na macho ya goroli. rangi yake ya chungwa lilioiva ... akiongea ni kama hataki maana anaweka vituo vyote kwa usahihi kabisa. kwa kweli... "mla mla leo ,mla jana kala nini?" nami nimejipatia mtoto mantashallah... allahamdullilah "kimfaacho mtu chake" maana msije waswahili mkaanza kusema oohh.. sijui ni na nini... gudume amekutana na maneno ya wahenga ya kuwa "subra yavuta kheri"
Ushawai kugegedwa na Mimi?Huyo ni Miss natafuta au Demiss hao chaote au mama wa huruma Jf...
Msinikoti please
Ni mwanamke gan anaweza kumteka gudumeHahahaa. Ndio hiyo ipo tayari.
Nasikia ww ndii Gudume...Kwahiyo wewe huoni kama mm mke wa Jr au naomba utengue kauli
Jahili[emoji735]Umejitahidi na methali, ila umekosea tu kdg. "Jahili aachi asili" na sio"jasiri"...... Ukuukuu wa pamba, si upya ukambaa. Not mkambaa..!
Mamaeeee umejua kunifurahishaUshawai kugegedwa na Mimi?
Oooh mkuu tafadhali mm mke wa Jr unataka kumshusha heshima mme wanguNasikia ww ndii Gudume...
Hahahaa. Si ndio huyo aliyemsemea Gudume kuwa keshatekwa tayari.Ni mwanamke gan anaweza kumteka gudume
Jina ingependezaaaaHahahaa. Si ndio huyo aliyemsemea Gudume kuwa keshatekwa tayari.
Aseme nilimgegeda wapi?Mamaeeee umejua kunifurahisha
AmeshakimbiaAseme nilimgegeda wapi?
Hahahaha maana hicho kiswahili kilochotumika kwene huo Uzi si mchezoHongera sana huyoo bibie uliempata ni mwalimu wa kiswahili??