Siamini naanza kuacha uhuni, umalaya, ubazazi na ubaradhuli. Huyu mtoto nimemuibua humu humu JamiiForums

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sasa ya kutangazana itabidi wenzio wakujue mana nina mababy humu mpaka wengine nimewasahau
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naweza nikapokea vitisho
 
Nawashukuru sana magwiji kupata wenza pia kuludisha mrejesho hapa hii inatupa matumain kuwa nisehem ambayo ukitulia unaweza kupata mwenza wakweli.
 
Hapo huoni kama ntampoteza? Maana amenipendea sounds zangu za kitaa.... Nikianza kuwa mlokole anaweza kunitosa... Amenipenda kama nlivyo mi msela....
[emoji23] hongera mkuu hatimae utaanza kuandika nyuzi zenye mantik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…