Siamini ninachokiona kwa wanaume wa kileo

kritika

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
410
Reaction score
1,156
Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
 
wanaume wa zamani walikuaje?
 

Ivi we mbona post zako ni za kutuchamba sisi tu ni wapi tumekukosa we mama ?
 
we kila kitu mapenz na kila mada dhidi ya wanaume? Mrudie muumba humu hutapata amani unayoitaka na ukiendelea kutegemea furaha yako kubwa itoke kwenye mapenz umekwisha. Means mkizinguana ghafla bin vuu anaondoka na furaha yako yote unabaki mtupu, matokeo ya ni kuhaha haha kama hv upate hata fraha kdg ikusaidie usijinyonge. Tafta vyanzo ving vya furaha ukitegemea kimoja tena kutoka kwa binadam matokeo yake ndo hayo. Lets say Wewe (Anna) unamtegemea (Juma) akupe furaha na (Juma) anamtegemea (Pili) ampe furaha ila si wewe, what do you expect from him against you? Lazma ule za uso na matokeo yake ni kua hopeless kama hvyo.pole dada
 
Aliekupa ww usafiri ndio huyo huyo aliemnyima mwengine tafuta cha kuongea hizo za kwako ni zarau maisha hatufanani
Pia usimcheke mamba wakati hujavuka mto huwezi jua Mungu kakupa mali kukuangalia tu utashukuru utakufuru, hatima yake unakufuru mrudie mola wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…