BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Huyu dada ana tatizo alilokuwa nalo mwanamke wangu, ila nimemtuliza na hana makuu. Anahitaji msaada huyu na sio kashfa.Inaonekana wanaume wanamtenda sana huyu dada, ndio maana ana hasira nao... Kila topic anawananga wanaume
Tunakuwasha sana eeeeeh!!!! tangu ununue hicho kibito basi shida.Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Hahahaaawanaume wa zamani walikuaje?
kawaida si ajabu ushawah kutoka nae na unatoka naeNi aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Zamani hiyo ulikuepowanaume wa zamani walikuaje?
Sio bure wewe utakuwa umeachika, handsome nipo hapa kukupunguzia stress.Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Daaaah kwel mkuu wanakuwaga wananata ile mbaya utafikili haendagi chooni kukata gogoMwanamke usipomgegeda vizuri anakuwa na dharau
Dah...hyu csta cjui jamaa yke alimfanya nn asee ana chuki sana na cc!Mkuu mbona mada zako ni za kutunanga vidume tuu
Acha dharau wewe. Leo unalo kesho haunaNi aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Hakuna changamoto aliyoileta hapa mtoa mada. Hata hajui alichokiandikaPeople are free to write anything they feel it's right to write. Wanaume mnaodandia lift za bure acheni kulialia, jifunzeni kupokea changamoto za maandishi kama haya.