Yajayo yanafurahishaHebu tuambie tumekukosea nini....hii si kawaida..toka umepiga maguu JF wewe upo na wanaume tuu..
1. Kwenu wanaume, matatizo mengine hayahitaji maombi
2. Ni aibu kwa mwanaume
3. Wanaume hawajui mapenzi
4. Wanaume wengi hawabebeki
5. Tabia za ajabu kwa wanaume
6. Baadhi ya wanaume ni wachafu sana, wanalala na kahaba anayetembea na wanaume wengi
7. Bora kujipenda mwenyewe
8. Jana nimechepuka ili kumkomoa mwanaume niliyenaye
9. Wanaume kuwa na aibu za kitoto
10. Wanaume mnalaana
11. Wanaume wa siku hizi wamekua waoga sana hadi wanatia aibu
Kuna tatizo kubwa sana
Na ana stress haswaaaaa!mkuu watakua wanaume wamemtesa sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana release stress na frustration zake[emoji2]
Cc hatujakataa ushauri wke ila ukifatilia threads zke utagundua hyu csta ana chuki sana na wanaume!People are free to write anything they feel it's right to write. Wanaume mnaodandia lift za bure acheni kulialia, jifunzeni kupokea changamoto za maandishi kama haya.
Hongera kwa kumiliki usafiri,kuna wengine tuna 30+wazima kabisa still hatujajaaliwa na nauli ya kwendea kazini saa nyingine mtihani na hapo nyuma tuna chain ya watu inatutegemeaNi aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Mmh. Ipi hiyo rafiki?Hiyo ndio tabia ya mtanzania halisi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol[emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh!.Kama utaki kushare lipaki upande toyo mbona we mwenyewe umehogwa
Hahahaaaa.Kuna haja ya kwenda kuchukua seat yako Milembe
Yaani nimecheka mie pia mdogo wangu na nimejikuta navuta picha huyo mwanaume anayekimbizana na wanafunzi kuwahi lift. Hahahaaaa.Hahaha comments zinachekesha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kama haiji lakini kaka? [emoji12]hahaha ss na nyie hamjishtukii...lift waombe wanafunzi na nyie mkimbilie [emoji23]
Hahahaaa. Mpaka wanyanyue mikono mwaka huu.Wanaume kazi mnayo
WogaMmh. Ipi hiyo rafiki?
Duuh! Umeandika kwa hisia ya hali ya juu Kaka ake.Mkuu unataka kila mtu awe na uwezo wa kumiliki ndinga??? Kinachokushangaza kuwa hawana magari ama kupanda gari la kuomba lift???
Hapo mtu anaenda kutafuta kaomba lift akapate chochote kitu aje kula na familia yake je angekaa nyumbani si ingekuwa ni nongwa kubwa sana kwako??
Mwisho sio kama wanakimbilia pia wanapenda lahashaa, ila nao wanataka kuwahi kwenye majukumu yao usafiri ni shida