Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Sasa na nye si mgeongoza kundiLakini Al ahly alivuka nusu fainali.....
Makolo waongoza kundi wakafa kiume robo fainali [emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Pamoja na kuongoza kundi, lakini hakukuwa na faida yoyote uliyopata. Raha ya kuongoza kundi ni kuanza kucheza away na kupangiwa anayeshika nafasi ya pili. Lakini mkaaga mashindanoSimba walimaliza juu ya Al Ahly tena kwa kishindo lakini sikusikia haya makelele kama niliyokuwa nayasikia kwa uto au ndio kipofu kaona mwezi?
Hawa jamaa baada ya kuwafunga CRB goli 4 walijitapa eti watafika fainali, sasa sijui wangeongoza kundi mbele ya mabingwa wa Afrika wangepandwa na mizuka hadi wangetembea uchi?
View attachment 2921806
Je hizo point 11 zitawasaidia msishike nafasi ya pili? Swala ni kufuzu sio kufuzu kwa point ngapi.Wamefuzu wakiwa na points 8 na magoli 3 mkononi ngojeni kesho sisi tutakua na points 11 na magoli zaidi ya 4 mkononi!!!
Ikafika hatua ya kuwezesha Tanzania kuwakilishwa na timu 2Baada ya hizo point kibao.
Simba ikafika hatua gani ?
Ikafika hatua ya kuwezesha Tanzania kuwakilishwa na timu 2
Aahaaaaa,Pamoja na kuongoza kundi, lakini hakukuwa na faida yoyote uliyopata. Raha ya kuongoza kundi ni kuanza kucheza away na kupangiwa anayeshika nafasi ya pili. Lakini mkaaga mashindano
Tuambie Kolo baada ya hapo aliishia wapiSimba walimaliza juu ya Al Ahly tena kwa kishindo lakini sikusikia haya makelele kama niliyokuwa nayasikia kwa uto au ndio kipofu kaona mwezi?
Hawa jamaa baada ya kuwafunga CRB goli 4 walijitapa eti watafika fainali, sasa sijui wangeongoza kundi mbele ya mabingwa wa Afrika wangepandwa na mizuka hadi wangetembea uchi?
View attachment 2921806
Robo. Kama kufika robo ni kawaida kwanini koromaji la taifa lilizima?Tuambie Kolo baada ya hapo aliishia wapi
Mwaka huo Utopolo waliishia wapi kwenye kombe la loser?Lakini Al ahly alivuka nusu fainali.....
Makolo waongoza kundi wakafa kiume robo fainali [emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwani Yanga inavyojitapa sasa hivi imefikia hatua gani?Baada ya hizo point kibao.
Simba ikafika hatua gani ?
Yanga wamepata faida gani wanavyojitapa sasa hivi?Pamoja na kuongoza kundi, lakini hakukuwa na faida yoyote uliyopata. Raha ya kuongoza kundi ni kuanza kucheza away na kupangiwa anayeshika nafasi ya pili. Lakini mkaaga mashindano