cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo la yanga kapata mafanikio uzeeni kwa miaka 86,image mgumba mwenye miaka 86,apate mtoto ,furaha yake itakuwaje?ndio maana walizimia masikini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo la yanga kapata mafanikio uzeeni kwa miaka 86,image mgumba mwenye miaka 86,apate mtoto ,furaha yake itakuwaje?ndio maana walizimia masikini
Kula chuma hiko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utoto raha yaan unangoja mwenzako ashindwe umseme hahaha kesho simba anapigwa 2
Aaah mambo ya ban ...yanatoka wapi Tena[emoji3063][emoji3063][emoji23]Suala ni ndani ya makundi, sio huko Robo.
Ndo maana unaropoka ujinga, nusu upigwe ban nyau wee.
Ligi ya mabingwa Afrika, club zote ni kubwaAlizimia kwasababu haamini kama Yanga ingetoa dozi nzito hivyo kwa timu bungwa wa Algeria. Hakuna timu ya Tanzania iliyowahi kuifunga goli nne timu kutoka Algeria, Misri, Tunisia au Morocco?