Hivi Ivory coast alifuzu akiwa na point ngapi kwenye AFCON? Kumbe mashabiki wa Simba ni vihande kiasi hiki. Kufuzu ni kufuzu haijalishi unafuzu na point ngapi. Kubwa zaidi kwa Yanga ni kujipanga wavuke hatua ya robo fainali ili wacheze nusu. Msimu wa 2018/2019 Simba walipata point 9 pekee.Yaani timu inafuzu kwa points 8 tu hii ni aibu haswa kwa timu inayojinasibu kuwa bora points 8 ni bora hata makundi uenyewe nisivuke maana inaonyesha wazi umeenda kwa kubahatisha
Kichaka cha robo fainali kimechomwa saivi mmekimbilia katika point, kwenye mpira ngazi ya makundi unachopongezwa ni kufuzu sio kufuzu kwa point ngapi hakuna tuzo za point katika mashindano ya CAF. Acheni kushabikia mpira ukubwani. Yanga haijajitapa ila nyie ndio mnaoangaika na Yanga kwa kuchukua rekodi za nyuma kulinganisha na za sasa. Yanga kafuzu tokea wiki iliyopita vipi nyie wazoefu wa CAF mmeshafuzu?Yanga wamepata faida gani wanavyojitapa sasa hivi?
Kwa hiyo ile hadi watu wanazimia uwanjani ni kushangilia kufikia rekodi ya Simba? 😂😂😂Kichaka cha robo fainali kimechomwa saivi mmekimbilia katika point, kwenye mpira ngazi ya makundi unachopongezwa ni kufuzu sio kufuzu kwa point ngapi hakuna tuzo za point katika mashindano ya CAF. Acheni kushabikia mpira ukubwani. Yanga haijajitapa ila nyie ndio mnaoangaika na Yanga kwa kuchukua rekodi za nyuma kulinganisha na za sasa. Yanga kafuzu tokea wiki iliyopita vipi nyie wazoefu wa CAF mmeshafuzu?
ulikuwa na miaka mingapi mwaka huo baada ya kuongoza nn kilifuata?Simba walimaliza juu ya Al Ahly tena kwa kishindo lakini sikusikia haya makelele kama niliyokuwa nayasikia kwa uto au ndio kipofu kaona mwezi?
Hawa jamaa baada ya kuwafunga CRB goli 4 walijitapa eti watafika fainali, sasa sijui wangeongoza kundi mbele ya mabingwa wa Afrika wangepandwa na mizuka hadi wangetembea uchi?
View attachment 2921806
Wanahitajika walimu wa historia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba walimaliza juu ya Al Ahly tena kwa kishindo lakini sikusikia haya makelele kama niliyokuwa nayasikia kwa uto au ndio kipofu kaona mwezi?
Hawa jamaa baada ya kuwafunga CRB goli 4 walijitapa eti watafika fainali, sasa sijui wangeongoza kundi mbele ya mabingwa wa Afrika wangepandwa na mizuka hadi wangetembea uchi?
View attachment 2921806
Aishi miaka mingi mzee RageYaani timu inafuzu kwa points 8 tu hii ni aibu haswa kwa timu inayojinasibu kuwa bora points 8 ni bora hata makundi yenyewe nisivuke maana inaonyesha wazi umeenda kwa kubahatisha
Ila ujumbe umeupata..tuliongoza hatukuongoza?? Nyie kwa Al ahly ni vitoto...Lakini Al ahly alivuka nusu fainali.....
Makolo waongoza kundi wakafa kiume robo fainali [emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kinachowauma ni Yanga kufuzu robo fainal na hawana tena cha kuringiaKichaka cha robo fainali kimechomwa saivi mmekimbilia katika point, kwenye mpira ngazi ya makundi unachopongezwa ni kufuzu sio kufuzu kwa point ngapi hakuna tuzo za point katika mashindano ya CAF. Acheni kushabikia mpira ukubwani. Yanga haijajitapa ila nyie ndio mnaoangaika na Yanga kwa kuchukua rekodi za nyuma kulinganisha na za sasa. Yanga kafuzu tokea wiki iliyopita vipi nyie wazoefu wa CAF mmeshafuzu?
Walizimia uwanjani?Mkuu labda unajisahaulisha maana walitamba sana na masimango kibao kwa Yanga
Akili mtu wangu.Ni wawili tu.Akili tu.Hata ukitembea majiani na kumuona chizi anachekacheka na kuongea peke yake ni vema ukapita zako uendelee na safari.Simba walimaliza juu ya Al Ahly tena kwa kishindo lakini sikusikia haya makelele kama niliyokuwa nayasikia kwa uto au ndio kipofu kaona mwezi?
Hawa jamaa baada ya kuwafunga CRB goli 4 walijitapa eti watafika fainali, sasa sijui wangeongoza kundi mbele ya mabingwa wa Afrika wangepandwa na mizuka hadi wangetembea uchi?
View attachment 2921806
Alizimia kwasababu haamini kama Yanga ingetoa dozi nzito hivyo kwa timu bungwa wa Algeria. Hakuna timu ya Tanzania iliyowahi kuifunga goli nne timu kutoka Algeria, Misri, Tunisia au Morocco?Walizimia uwanjani?
Baada ya hizo point kibao.
Simba ikafika hatua gani ?
Suala ni ndani ya makundi, sio huko Robo.Lakini Al ahly alivuka nusu fainali.....
Makolo waongoza kundi wakafa kiume robo fainali [emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app