Siasa isiwepo Timu ya Taifa

Siasa isiwepo Timu ya Taifa

Godee jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2012
Posts
1,836
Reaction score
2,536
Nashukuru Mungu timu yetu imeshinda leo.

Ombi langu ni kuwa wanasiasa wasijaribu kutia pua yao kwenye timu yetu.

Huwa mnatugawa sana na sipendi hichi kitu. Naomba mambo yabaki kama yalivyokuwa leo. Tuwaamini wachezaji na makocha tafadhali.
 
Back
Top Bottom