Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Siasa na Propaganda zimekuwa zikifanyika tangia enzi...; ila imefika wakati watu kujaribu kukwambia kwamba nyeusi ni nyekundu yaani wanadhani wakitamka mara nyingi zaidi hata wao wenyewe mdomo wao utali-convince sikio lao...
Angalizo kwa hawa watu ukiwa ni mtu wa kusifia bila kupinga utaondoa authenticity yako..., hata siku ukiongea la maana watu wanaweza wasikusikilize...; Yaani ni bora uwe na mchele mdogo kila siku..., na sio kuchanganya pumba nyingi hata mchele usionekane.....
Angalizo kwa hawa watu ukiwa ni mtu wa kusifia bila kupinga utaondoa authenticity yako..., hata siku ukiongea la maana watu wanaweza wasikusikilize...; Yaani ni bora uwe na mchele mdogo kila siku..., na sio kuchanganya pumba nyingi hata mchele usionekane.....