Siasa michezoni: Nchi za Afrika Mashariki karibu zote zimefuzu AFCON 2019. Je, kiwango cha soka ktk ukanda wetu kimeimarika au kuna kubebana?

Siasa michezoni: Nchi za Afrika Mashariki karibu zote zimefuzu AFCON 2019. Je, kiwango cha soka ktk ukanda wetu kimeimarika au kuna kubebana?

lingamba lidodi

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
964
Reaction score
1,137
Wana jamvi saalam, ama baada ya saalam naomba tuyatafakari haya yafuatayo :
Kabla ya mechi ya Jana kuna watanzania walibeza sana kamati ya kuhamasisha ushindi kwa mdai kwamba imekaa kisiasa badala yake kamati hiyo ingekuwa ya wanafamila ya mpira wa miguu,na hasa wachezaji wa zamani na wadau.

Walifika mbali na kuilaumu tff kuwa wameufanya mchezo wa Jana kuwa wa kisiasa zaidi hasa kiccm kwa kumuweka makonda kuwa mwenyekiti

Timu yetu imeshinda kwa kishindo,tumeona mtu kama mbwigane alitokwa machozi.
Tumeona clouds tv,walikwenda nyumbani kwa mh rais kumrekodi akiangalia mechi hiyo.

WANAOJUA KUPAMBA WANASEMA NCHI IMESIMAMA
Nchi zetu tunahistoria nazo hasa za ukanda huu wa afrika mashariki ukiondoa Uganda ambayo umekuwa ikijitahidi kufika mbali.

Mwaka huu takriban nchi 4 zimefuzu fainali hizo.
1, Nchi hizi zilistahili kufuzu?
2, Ni uwekezaji(maandalizi) ndiyo yamefanikisha kufuzu?
3, Je uwekezaji uliofanyika utazipeleka mbele zaidi au ni moto wa mabua?
4, mfano Tanzania ,tuendelee kuzalisha wachezaji wa kulipwa kwenye nchi mbalimbali bila ya kuwekeza kwenye timu ya vijana na kupata timu ya taifa iliyo bora?

5,Kama ninavyoijua timu ya taifa ya Uganda,tulistahili kuifunga idadi ile ya magoli,au kwakuwa wao walikwisha fuzu?
MWISMI TFF IACHE KUSHIRIKISHA WANASIASA KWENYE MICHEZO, WATAIGAWA NCHI MWISHO WA SIKU ITAKOSEKANA SAPOTI YA KUTOSHA.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idadi ya nchi zinazoshiriki ndio sababu hasa nchi zetu za EA zimeweza kupata nafasi. Afrika ina nchi chini ya 60, na zinazoshiriki sasa ni 24. Ukiangalia ni kama nusu ya nchi zote za Afrika. Hii ndio sababu ya msingi.
 
Shirikisho la soka barani Afrika limeongeza timu /nchi kwenye fainali zake kutoka timu16 mpaka timu 24 kwa sasa. "Washamba na marimbukeni" by ZITO. wanalazimisha kukubalika tu. Kuteka, kupiga watu risasi na mpira wapi na wapi.
 
Mimi nilitarajia Haya baada ya Rais wa CAF kupatikana toka Madagascar,kuna janja janja ilikuwa inachezwa ktk upangaji,ilikuwa timu Kali za afrika magharibi na kaskazini zinasambazwa kwenye makundi yenye timu dhaifu,nikawa najiuliza hawa watu kwanini wasiweke makundi yanayotoa uwakilishi wa pande zote za Afrika,mfano,wanyera wa Afrika mashariki mpangwe kundi moja angalau uwakilishi uwepo.

Enzi ya Hayatou usingekuta kundi lina Uganda,Tanzania,Lesotho na Cape Verde,hapo angetolewa Lesotho mkawekewa Algeria au Senegal.

Hata ktk Vilabu miaka yote Waarabu round ya pili wanapewa timu za huku Afrika mashariki,Utaona Yanga anaanza kupewa mshelisheli akipita tu USM Algers huyu hapa kama Sio Zamalek.

Huyu jamaa wa Madagascar ameweka njia za haki timu kupita,Hata Simba alivyomtoa Mbabane enzi ya Hayatou angesogezewa Esperance au Al Ahly na aggregate ingekuwa 5-1

Hivyo ktk utawala huu wa jamaa toka Madagascar tarajia haki na vilabu na nchi zetu zitafanya vizuri mpaka mambo yakibadilika huko mbeleni tutakuwa tayari pia tuko imara

External Factors kwa timu za Taifa ni mataifa mababe ya Afrika Magharibi kukosa wachezaji wakali waliopo Ulaya,mfano wakali watatu toka Afrika Leo ni msenegal Mane,mmisri Salah na mgabon Aubameyang, Ivory coast,Mali,ghana,Nigeria na Cameron almost hazina tena wachezaji wa kutisha ulaya,hivyo kuleta uwiano mzuri wa viwango miongoni mwa timu za Africa

La mwisho ni maendeleo ya technolojia yamesambaza maarifa the rest of Africa kirahisi sana zikiwamo pia programme za kuendeleza soka za Fifa.

Na hili la nafasi kuongezeka nalo limechangia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tindo hiyo Ndio sababu kuuleta ya sisi kupata nafasi AFCON 2019.Laiti kama ingekuwa timu 16 tungepata tabu sana. Lakini Haya ni matunda ya Rais wa sasa wa Caf Ahmed Ahmed. Ametekeleza hadi yake wakati wa kampeni.
Idadi ya nchi zinazoshiriki ndio sababu hasa nchi zetu za EA zimeweza kupata nafasi. Afrika ina nchi chini ya 60, na zinazoshiriki sasa ni 24. Ukiangalia ni kama nusu ya nchi zote za Afrika. Hii ndio sababu ya msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soka LA East Africa limekua mkuu...Imagine Onyango anacheza Mamelod..Samatta ameshakua mchezaji bora Africa...wachezaji kutoka magharibi na kusini mwa Africa wapo kwenye ligi zetu pia wa kwetu wapo kwao.
Simba na Gormahia wameingia hatua ya robo fainali...mwaka Jana Rayo Sport walifika hatua hiyo.
Burundi wameweza kuwazuia Gabon mbele ya Aubamayang...Simba imefuzu mbele ya As Vita...Misry anapigwa na Uganda hapo Kampala na Mo Salah ndani.
Hayo ni baadhi tu bt soka la EA limekua kwa kiwango gani SIJUI bt halipo kama zamani.
 
Mbona 1980 zilifuzu timu nane tu tukaenda Nigeria...wachezaji wa zamani walikuwa wanalewa sifa hapa nyumbani..mtu kama Lunyamila au Gaga walishindwa vipi kucheza Ulaya

Hiyo zamani ilikuwa ina mwaka mmoja tu wa 1980? Mbona hawakushiriki 77,78,79, 81,82 nk. Kwa taarifa yako hata hiyo 80 walipata nafasi ya kushiriki kwa kuziba pengo la nyingine.
 
Ongezeko la timu kutoka 16 HADI 24 ndio nafasi ya timu yetu kwenda AFCON.
FIKIRIA kama kila kundi ingekuwa inafuzu timu 1 Kama hapo nyuma utapata jibu.
Yote kwa yote tujengetimu yetu kupitia nafasi kama hz... Timu yetu bado iko chini uwezo wake.. Wizara na Shirikisho waweke mikakati bora ya kukuza vipaji sio kubuni tu
 
Wana jamvi saalam, ama baada ya saalam naomba tuyatafakari haya yafuatayo :
Kabla ya mechi ya Jana kuna watanzania walibeza sana kamati ya kuhamasisha ushindi kwa mdai kwamba imekaa kisiasa badala yake kamati hiyo ingekuwa ya wanafamila ya mpira wa miguu,na hasa wachezaji wa zamani na wadau.

Walifika mbali na kuilaumu tff kuwa wameufanya mchezo wa Jana kuwa wa kisiasa zaidi hasa kiccm kwa kumuweka makonda kuwa mwenyekiti

Timu yetu imeshinda kwa kishindo,tumeona mtu kama mbwigane alitokwa machozi.
Tumeona clouds tv,walikwenda nyumbani kwa mh rais kumrekodi akiangalia mechi hiyo.

WANAOJUA KUPAMBA WANASEMA NCHI IMESIMAMA
Nchi zetu tunahistoria nazo hasa za ukanda huu wa afrika mashariki ukiondoa Uganda ambayo umekuwa ikijitahidi kufika mbali.

Mwaka huu takriban nchi 4 zimefuzu fainali hizo.
1, Nchi hizi zilistahili kufuzu?
2, Ni uwekezaji(maandalizi) ndiyo yamefanikisha kufuzu?
3, Je uwekezaji uliofanyika utazipeleka mbele zaidi au ni moto wa mabua?
4, mfano Tanzania ,tuendelee kuzalisha wachezaji wa kulipwa kwenye nchi mbalimbali bila ya kuwekeza kwenye timu ya vijana na kupata timu ya taifa iliyo bora?

5,Kama ninavyoijua timu ya taifa ya Uganda,tulistahili kuifunga idadi ile ya magoli,au kwakuwa wao walikwisha fuzu?
MWISMI TFF IACHE KUSHIRIKISHA WANASIASA KWENYE MICHEZO, WATAIGAWA NCHI MWISHO WA SIKU ITAKOSEKANA SAPOTI YA KUTOSHA.


Sent using Jamii Forums mobile app
majibu
swali no 1 jibu lake ni ndio zimestahili kulingana na makundi yao
swali no 2 jibu lake sijajua mataifa mengine hayo ila kwa TZ ni "TUMEUONAAA MKONO WAKE BWANA"
swali no 3 jibu lake ni uwekezaji pasipo ya academi ni moto wa mabua tu
swali no 4 jibu ni hao wachezaji watazalishwa kutokea wapi,pasipo ya academi
swali no 5 jibu ni kuifunga ndio inawezekana kutokana na morali ya wachezaji
 
Mimi nilitarajia Haya baada ya Rais wa CAF kupatikana toka Madagascar,kuna janja janja ilikuwa inachezwa ktk upangaji,ilikuwa timu Kali za afrika magharibi na kaskazini zinasambazwa kwenye makundi yenye timu dhaifu,nikawa najiuliza hawa watu kwanini wasiweke makundi yanayotoa uwakilishi wa pande zote za Afrika,mfano,wanyera wa Afrika mashariki mpangwe kundi moja angalau uwakilishi uwepo.

Enzi ya Hayatou usingekuta kundi lina Uganda,Tanzania,Lesotho na Cape Verde,hapo angetolewa Lesotho mkawekewa Algeria au Senegal.

Hata ktk Vilabu miaka yote Waarabu round ya pili wanapewa timu za huku Afrika mashariki,Utaona Yanga anaanza kupewa mshelisheli akipita tu USM Algers huyu hapa kama Sio Zamalek.

Huyu jamaa wa Madagascar ameweka njia za haki timu kupita,Hata Simba alivyomtoa Mbabane enzi ya Hayatou angesogezewa Esperance au Al Ahly na aggregate ingekuwa 5-1

Hivyo ktk utawala huu wa jamaa toka Madagascar tarajia haki na vilabu na nchi zetu zitafanya vizuri mpaka mambo yakibadilika huko mbeleni tutakuwa tayari pia tuko imara

External Factors kwa timu za Taifa ni mataifa mababe ya Afrika Magharibi kukosa wachezaji wakali waliopo Ulaya,mfano wakali watatu toka Afrika Leo ni msenegal Mane,mmisri Salah na mgabon Aubameyang, Ivory coast,Mali,ghana,Nigeria na Cameron almost hazina tena wachezaji wa kutisha ulaya,hivyo kuleta uwiano mzuri wa viwango miongoni mwa timu za Africa

La mwisho ni maendeleo ya technolojia yamesambaza maarifa the rest of Africa kirahisi sana zikiwamo pia programme za kuendeleza soka za Fifa.

Na hili la nafasi kuongezeka nalo limechangia

Sent using Jamii Forums mobile app
Well stated! Safi
 
Well said, na hata ukiangalia rariba ya sasa hivi ya hizo final utaona upangajj wa timu, ni tofauti kabisa, yaani imepangwa kimaeneo na hii itatoa fursa kwa kila ukanda kuwa na uwakilishi katika level furani ya haya mashindani, maana hapo zamani unakuta ni timu fulani za ukanda mmoja tu.
Mimi nilitarajia Haya baada ya Rais wa CAF kupatikana toka Madagascar,kuna janja janja ilikuwa inachezwa ktk upangaji,ilikuwa timu Kali za afrika magharibi na kaskazini zinasambazwa kwenye makundi yenye timu dhaifu,nikawa najiuliza hawa watu kwanini wasiweke makundi yanayotoa uwakilishi wa pande zote za Afrika,mfano,wanyera wa Afrika mashariki mpangwe kundi moja angalau uwakilishi uwepo.

Enzi ya Hayatou usingekuta kundi lina Uganda,Tanzania,Lesotho na Cape Verde,hapo angetolewa Lesotho mkawekewa Algeria au Senegal.

Hata ktk Vilabu miaka yote Waarabu round ya pili wanapewa timu za huku Afrika mashariki,Utaona Yanga anaanza kupewa mshelisheli akipita tu USM Algers huyu hapa kama Sio Zamalek.

Huyu jamaa wa Madagascar ameweka njia za haki timu kupita,Hata Simba alivyomtoa Mbabane enzi ya Hayatou angesogezewa Esperance au Al Ahly na aggregate ingekuwa 5-1

Hivyo ktk utawala huu wa jamaa toka Madagascar tarajia haki na vilabu na nchi zetu zitafanya vizuri mpaka mambo yakibadilika huko mbeleni tutakuwa tayari pia tuko imara

External Factors kwa timu za Taifa ni mataifa mababe ya Afrika Magharibi kukosa wachezaji wakali waliopo Ulaya,mfano wakali watatu toka Afrika Leo ni msenegal Mane,mmisri Salah na mgabon Aubameyang, Ivory coast,Mali,ghana,Nigeria na Cameron almost hazina tena wachezaji wa kutisha ulaya,hivyo kuleta uwiano mzuri wa viwango miongoni mwa timu za Africa

La mwisho ni maendeleo ya technolojia yamesambaza maarifa the rest of Africa kirahisi sana zikiwamo pia programme za kuendeleza soka za Fifa.

Na hili la nafasi kuongezeka nalo limechangia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila pamoja ya yote nchi zetu lazima ziwe serious katika maandalizi, hapa serikali imeshiliki ikiwa na lengo la kupata kiki ya kisiasa, sasa hii sio long plan, maana malengo yao wakiona hayaleti matunda watakaa pembeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom