Siasa michezoni: Nchi za Afrika Mashariki karibu zote zimefuzu AFCON 2019. Je, kiwango cha soka ktk ukanda wetu kimeimarika au kuna kubebana?

Siasa michezoni: Nchi za Afrika Mashariki karibu zote zimefuzu AFCON 2019. Je, kiwango cha soka ktk ukanda wetu kimeimarika au kuna kubebana?

Mbona 1980 zilifuzu timu nane tu tukaenda Nigeria...wachezaji wa zamani walikuwa wanalewa sifa hapa nyumbani..mtu kama Lunyamila au Gaga walishindwa vipi kucheza Ulaya
vilabu vyetu vilabu vilikuwa vinaongozwa na watu wasio na maono!
 
Back
Top Bottom