Wimbo wa Taifa hili wanaloliongoza unaanza na dini."MUNGU IBARIKI TANZANIA" Wakiwa kwenye kupewa Ofisi inaanza Ibada na kutaka waombewe ila Wakitenda Maovu wanasema msituingilie sasa tuwaulize nyie Hamuogopi Mungu sasa kwenye majumba ya Ibada mnakwenda kufanya nini?
Waambie tu wawajibu viongozi wa dini kitaalamu inawezekana labda hawajaelewa .