William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Huwezi kuniimbisha ukasuku wa hapa kazi tu wakati hata kibaruwa sina bwegge wewe.Ifikie kipind tukubali uchaguzi na siasa vimeisha na tuviweke pembeni, na walioshinda wameshinda hata km wameshinda kimagumashi maana hamna namna tena, ndio tutakaokuwa nao ndani ya miaka 5, kauli mbiu yao ndio imeshika hatamu, hakuna namna tuache maisha yaendelee tufanye tufanye kazi #Hapa kazi tu
Huwezi kuniimbisha ukasuku wa hapa kazi tu wakati hata kibaruwa sina bwegge wewe.
We si ---- ndio maana unategeme uajiriwe, jiajiri mwenyewe acha kuwa zumbukuku
Hapa kazi tu
Taratibu mkuu,ila hawa jamaa wanaboa sana na hiyo kauli mbiu yao waso ni siasa kila sehemu.
Ifikie kipind tukubali uchaguzi na siasa vimeisha na tuviweke pembeni, na walioshinda wameshinda hata km wameshinda kimagumashi maana hamna namna tena, ndio tutakaokuwa nao ndani ya miaka 5, kauli mbiu yao ndio imeshika hatamu, hakuna namna tuache maisha yaendelee tufanye tufanye kazi #Hapa kazi tu
Huwezi kuniimbisha ukasuku wa hapa kazi tu wakati hata kibaruwa sina bwegge wewe.
Hapa kazi kama hiyo ya kwenda sare? au ni ile ya Muhimbili kutengeneza mashine moja huku wagonjwa bado wanalazwa chini na hakuna dawa. Kazi tu bado mpaka pale tutakapofikia hatua ya kuwafunga Algeria nyumbani kwao.
Huwezi kuniimbisha ukasuku wa hapa kazi tu wakati hata kibaruwa sina bwegge wewe.
huwezi kuniambia uchaguzi umeisha wakati rais wa zenji simjuiIfikie kipind tukubali uchaguzi na siasa vimeisha na tuviweke pembeni, na walioshinda wameshinda hata km wameshinda kimagumashi maana hamna namna tena, ndio tutakaokuwa nao ndani ya miaka 5, kauli mbiu yao ndio imeshika hatamu, hakuna namna tuache maisha yaendelee tufanye tufanye kazi #Hapa kazi tu
huwezi kuniambia uchaguzi umeisha wakati rais wa zenji simjui
samahani unajua mimi ni raia wa upande upi kwenye hii jamhuri?We uchaguzi wa zanzibar una effect gani kwako?
We bint acha mipasho kwenye mambo muhimu.