Siasa na michezo zinatugawa Watanzania kuishabikia Taifa Stars


Haya tumetafunwa 7-0 hapa kazi tu
 
Unajua mkuu, hili limeshakuwa tatizo, na ndio tayari taifa stars imeshaonekana ni ya ccm, kwani wakulaumiwa ni tff, kama una kumbukumbu nzuri kipindi cha kampeni captain wa starz akionekana akimpigia debe magufuri, na badaye tff wakajifanya kama vile wamelikemea, baada ya muda tena hao hao tff, walitaka kumualika mgombea wa ccm, kuwa mgeni rasmi wa mechi moja ya cecafa!! Wadau wakapiga kelele wakaona aibu. Tukubali tukatae siasa zimeshaingia kwenye timu yetu ya taifa, na ndio maana kila mtandao unaopita utakuta watu wanashangilia, kisa ni ccm imefungwa. Na wanamuita JECHA, akafanye yake, tena
 
Mwisho wa siku wanaopiga mpira uwanjani ni wachezaji

Hata kama tungepewa ruksa ya kuangakia mechi kutokea angani taifa stars ni wale wald wafungwaji

Waanze kuwekeza na kuwalipa wanachostahili tutaona mabadiliko.
 

Kiongozi, umeelezea vizur na ninekuelewa vizuri sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…