Siasa za Chanjo za Uviko (Politics of Covax)

Siasa za Chanjo za Uviko (Politics of Covax)

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,611
Kwakuwa chanjo ni vijidudu vilivyofubazwa nguvu vinapandikizwa mwilini ili viishi na wewe milele, sasa je, nisipochanja Corona alafu mtu aliyechanja akaniongezea damu wakati nilipohitaji damu je, vijidudu vile (chanjo yake) haviwezi kuhamia kwangu kwenye damu yake ile aliyoniongezea na kwamba silazimiki kuchanja kama wengine walivyochanja? Kipindi fulani niliwahi kuuliza hili swali lakini hakuna mtu (wakiwemo madaktari) aliyetoa jibu.

1639638110002.png

Brexit Hero recovering from Sino-American Virus.

1639638220410.png

High Profile cum Top Brass of African Superpower Polity daring the jab.

Taswira zote kwa hisani ya google.
 
Chanjo za uviko ni overrated.

Huwezi kutengeneza chanjo kwa kirusi ambacho kinamitate kila baada ya miezi 3/4/5/6.

Kirusi cha ukimwi hakimutate lakini wameshindwa kupata chanjo haraka, sembuse hiki ambacho kinamutate?

Think twice mates, watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Chanjo za uviko ni overrated.

Huwezi kutengeneza chanjo kwa kirusi ambacho kinamitate kila baada ya miezi 3/4/5/6.

Kirusi cha ukimwi hakimutate lakini wameshindwa kupata chanjo haraka, sembuse hiki ambacho kinamutate?

Think twice mates, watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Umeongea ukweli 100%.

Tunapigwa tu kwa brands za chanjo hizi.

Huu ukweli wazalishaji wa chanjo ukiwafikia watatamani kichwa chako maana umetoa #sirikaliyandani inayorisk biashara zao za chanjo.

Inabidi mama akupe ulinzi mkali kupindukia.
 
antibiotics zitahamia kwako lakini kwa kiasi kidogo saana ambacho hakitakupa nguvu ya kuzuia maradhi.

Na nadhani pia inategemea na aina ya chanjo. Ndiyo maana ukitaka kuchangia damu watakuuliza aina ya chanjo uliyopa ta
 
antibiotics zitahamia kwako lakini kwa kiasi kidogo saana ambacho hakitakupa nguvu ya kuzuia maradhi.

Na nadhani pia inategemea na aina ya chanjo. Ndiyo maana ukitaka kuchangia damu watakuuliza aina ya chanjo uliyopa ta
Is that so?!
 
Back
Top Bottom