Vumbi la Ndugai lingali kutulia. La Polepole ndiyo hivyo tena.
Kwanini tu wazito mno kuzika tofauti zetu? Kwanini wenzetu hawa, hawana uadui wa kudumu?
Kwamba mipira inazagaa golini kwa adui, kipa hayupo:
"Kwa ego tu hatutaki kuisukumia wavuni tuondoke na point 3 muhimu kwa sababu tu adui zetu wameibwaga na kuiacha hapo?"
Tuna nia ya ushindi kweli?
Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Yule bwana si aliimba ya kwamba:
"... Hata kama hunipendi, bora kujidanganya, roho itulie."🎼🎼
________
Ndugai: Ndoto ya Mihimili huru rasmi Imeyeyuka
Kwanini tu wazito mno kuzika tofauti zetu? Kwanini wenzetu hawa, hawana uadui wa kudumu?
Kwamba mipira inazagaa golini kwa adui, kipa hayupo:
"Kwa ego tu hatutaki kuisukumia wavuni tuondoke na point 3 muhimu kwa sababu tu adui zetu wameibwaga na kuiacha hapo?"
Tuna nia ya ushindi kweli?
Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Yule bwana si aliimba ya kwamba:
"... Hata kama hunipendi, bora kujidanganya, roho itulie."🎼🎼
________
Ndugai: Ndoto ya Mihimili huru rasmi Imeyeyuka