Siasa za chuki zinazikwa rasmi wafuatao wajiongeze la sivyo basi la maridhiano litawaacha

Siasa za chuki zinazikwa rasmi wafuatao wajiongeze la sivyo basi la maridhiano litawaacha

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,697
1. Heri James
2. Ole SABAYA
3. Jery Muro
4. Ali Hapi
5. Chalamila mkuu wa mkoa wa Mbeya
6. Cipirian Msiba
7. Makonda
8. Mbunge Msukuma
9Spika NDUGAI

Enzi za jiwe hawa jamaa walikuwa na siasa za chuki kweli
 
Kumbe huwa mnayatamani maridhiano ya zenji ee?sasa mbona bamkuisha kumkejeli maalim seif pamoja na zitto.

Bado wale mliowapachika jina covid 19 mtaweka wapi sura zenu
 
Chuki za Hao hazizidi Za Mheshimiwa Wa Ubelgiji Mpaka Mh. Lumumba aliamuasa aachane na Chuki....!
 
Kwenye riziki hapakosi chuki/fitina. Ukipata kazi kwenye ofisi ambayo haina Mchaga usifanye! Utakufa njaa. Mchaga hawezi maliza miezi mitatu kwenye ofisi isiyo na hela!
 
1. Heri James
2. Ole SABAYA
3. Jery Muro
4. Ali Hapi
5. Chalamila mkuu wa mkoa wa Mbeya
6. Cipirian Msiba
7. Makonda
8. Mbunge Msukuma
9Spika NDUGAI

Enzi za jiwe hawa jamaa walikuwa na siasa za chuki kweli
IMG-20210404-WA0081.jpg
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
hawa jamaa walitakiwa wafe hata kabla petro(kigwangala) hajamkana x3.
 
Ongeza Mwigulu Nchemba ndugai Majaliwa tulia gambo na wengi wengine.
1. Heri James
2. Ole SABAYA
3. Jery Muro
4. Ali Hapi
5. Chalamila mkuu wa mkoa wa Mbeya
6. Cipirian Msiba
7. Makonda
8. Mbunge Msukuma
9Spika NDUGAI

Enzi za jiwe hawa jamaa walikuwa na siasa za chuki kweli
 
Maridhiano ya nani na nani?
Wakati ni watu wale wale na chama kilekile katika ilani ileile wanaendelea...Dunia ya maajabu hii...Mfuatilie huyu ndani ya mwaka mmoja atakuwa wakwanza kulalamika na kusemea wenzake vibaya...ulalamishi ni tabia...Do your part and let others do theirs...Kila mwanadamu anapaswa kupewa haki yake ya kukosa na kusahihishwa ila siyo kuhukumiwa wakati unajua kabisa hujapata upande wake wa pili wa story...Learn to hear both sides and make a third story before you condemn and judge!
 
mtu kama bashite alikuwa tayari kujitolea kuzikwa na mwendazake kwa mahaba aliyokuwa nayo kwake!
 
Maridhiano!?😂😂😆..Hili neno mbona linatumika kama psy-op
 
1. Heri James
2. Ole SABAYA
3. Jery Muro
4. Ali Hapi
5. Chalamila mkuu wa mkoa wa Mbeya
6. Cipirian Msiba
7. Makonda
8. Mbunge Msukuma
9Spika NDUGAI

Enzi za jiwe hawa jamaa walikuwa na siasa za chuki kweli
Tulia vipi?
Polepole je?
Bashiru?
Kibajaji?
Mnyeti?
Mambobaadae?
Gambo?
We acha tu. Dunia ina mambo!
 
Back
Top Bottom