hp4510 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 7,235 Reaction score 7,392 Jan 29, 2023 #21 Cashman said: Acha utoto wako,unadhani watu wote tunaishi Dar na hatuna majukumu yanayotubana? Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app Click to expand... Kuna watu wanamajukumu makubwa na juzi walikuwa Dubai na timu Kuchangia timu ni mpaka uende clabuni? Kuna watu wanatoka south Africa kuja kuangalia gem za Simba au yanga, ww uko mbwidu Tu hapo umeenda mara ngapi? Kaa kimya kabisa
Cashman said: Acha utoto wako,unadhani watu wote tunaishi Dar na hatuna majukumu yanayotubana? Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app Click to expand... Kuna watu wanamajukumu makubwa na juzi walikuwa Dubai na timu Kuchangia timu ni mpaka uende clabuni? Kuna watu wanatoka south Africa kuja kuangalia gem za Simba au yanga, ww uko mbwidu Tu hapo umeenda mara ngapi? Kaa kimya kabisa
Kunguru wa Unguja JF-Expert Member Joined Aug 18, 2021 Posts 1,762 Reaction score 1,823 Jan 29, 2023 #22 VOICE OF MTWARA said: Sasa manzoki amekuja kufanya nini kama sio siasa? Hivi hujuI Ameletwa na nani kama sio kiongozi anaetetea nafasi yake! Click to expand... Achana kabisa na story za vijiweno kama hujui la kujitetea
VOICE OF MTWARA said: Sasa manzoki amekuja kufanya nini kama sio siasa? Hivi hujuI Ameletwa na nani kama sio kiongozi anaetetea nafasi yake! Click to expand... Achana kabisa na story za vijiweno kama hujui la kujitetea