SIASA ZA KENYA NA DEMOKRASIA YA AFRICA

MWAKATA KWETU

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
562
Reaction score
319
Habari zenu wana jamvi,
Leo ningependa tujadili siasa za Kenya,
je kujiapisha kwa Raila Odinga kuwa
Raisi wa Jamhuri ya Kenya,
hii ina impact gani kwa siasa zetu za
Afrika?
 
Ingekuwa nchi ya viwanda vya cherehani watu wangekuwa wameuwawa wa kutosha pamoja na kukamatwa.
 
Alichokitegemea Odinga hajakipata so ni loose hadi sasa.....Kenyatta kafanya Nice move sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…