MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 562
- 319
Habari zenu wana jamvi,
Leo ningependa tujadili siasa za Kenya,
je kujiapisha kwa Raila Odinga kuwa
Raisi wa Jamhuri ya Kenya,
hii ina impact gani kwa siasa zetu za
Afrika?
Leo ningependa tujadili siasa za Kenya,
je kujiapisha kwa Raila Odinga kuwa
Raisi wa Jamhuri ya Kenya,
hii ina impact gani kwa siasa zetu za
Afrika?