Siasa za Marekani pasua kichwa, Republican wadhihakiwa

Siasa za Marekani pasua kichwa, Republican wadhihakiwa

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka Wanajamvi!

Sasa hivi kuna mtifuano ndani ya chama cha Republican. Trump na gengeelake wanamnyooshea kidole senator minority mitch McConnell eti ndie amesasababisha Republican kufanya vibaya na kuifanya Democrats kuchukua senate.

Lakini ikumbukwe huyuhuyu Mitch McConnell alitahadharisha kabisa kabla ya uchaguz wagombea Trump aliowapendekeza (endorsed) kwa senate hawakidhi vigezo na watapoteza kina Trump wakamtukana na kumdhihaki.

Pia alitahadharisha kwenye Congress house watapoteza viti vingi sana japo watashinda kwa mbinde ma nikweli itatokea hivyo. Na wagombea 30 Trump aliowapendekeza wote wameangukiwa pua.

Republican, pollsters na vyombo vya habari walitabiri watashinda kwa kishindo tena mapemaa nakuiita Red wave. Matokeo yake wanachekwa sasa hi red splash.

Sasa hivi Ron Desantis anapigiwa debe na wajumbe wengi wa Republican agombee urais 2024 kitu ambacho kinamuuma sana Trump.

Pia wamependekeza Desantis badala ya Trump aongoze kwenye campaign ya uchaguz wa marudio ya useneta Georgia kati ya Republican Hersel Walker na incumbent pastor John Warnock wote waafrika wanadai Trump ataharibu.

Kwa upande mwengine Joe Baden yuko na furaha in a great Mood baada ya Democrats kufanya vizuri na maajabu kwenye huu. Alipohojiwa jumatano iliyopita kwa dhihaka alisema the red wsve they predicted did not happen. Na alipoulizwa kuhusu Desantis na Trump akajibu it'll be fun watching them takiyon each other.

Trump sasa hivi anakabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa Governor wa Florida Ron Disantis na Governor wa Virginia Glenn Younking.

Juzi Trump kajigamba bila yeye Ron Desantis asingechaguliwa ugavana 2018 kwasababu alimkingia kifua na kumlinda kwa kura zisiibiwe wakati ni baseless allegations. Pia amemponda Youngking ni jina la kichina wakati ni uwongo.
 
Trump tatizo lake kubwa ni kwamba anajidai kwamba hajali mambo ya Afrika hivyo anapotawala ndio madikteta wa kiafrika hutumia huo mwanya kunyanyasa wananchi wao.

Huo mwanya ndio akina Magufuli walitumia kuhujumu chaguzi mbalimbali nchini ikiwemo ile ya mitaa na uchaguzi mkuu.

Sawa hatukatai anaweza akawafaa wamarekani lkn kwa sisi waafrika itakuwa ni kilio, hata hivyo kwa namna kukubalika kwake kulivyo shuka hata ndani ya chama chake cha Republican hawezi kutoboa na hata hao wanaotangazwa sasa hivi wote hamna kitu watakuja wengine kabisa ambao bado hawajajitokeza kwa sasa.
 
Trump tatizo lake kubwa ni kwamba anajidai kwamba hajali mambo ya Afrika hivyo anapotawala ndio madikteta wa kiafrika hutumia huo mwanya kunyanyasa wananchi wao.

Huo mwanya ndio akina Magufuli walitumia kuhujumu chaguzi mbalimbali nchini ikiwemo ile ya mitaa na uchaguzi mkuu.

Sawa hatukatai anaweza akawafaa wamarekani lkn kwa sisi waafrika itakuwa ni kilio, hata hivyo kwa namna kukubalika kwake kulivyo shuka hata ndani ya chama chake cha Republican hawezi kutoboa na hata hao wanaotangazwa sasa hivi wote hamna kitu watakuja wengine kabisa ambao bado hawajajitokeza kwa sasa.
Mkuu unawaza RAIS wa marekani awafae waafrika pole mkuu,safari ni ndefu.
 
Mkuu unawaza RAIS wa marekani awafae waafrika pole mkuu,safari ni ndefu.
Wakati wa utawala wa makaburu wa Afrika Kusini Ronald Reagan na Margreth Thatcher mara ya kwanza walikataa katakata kuuwekea huo utawala vikwazo vya kiuchumi ili kuulazimisha utawala huo kuachana na sera yake ya Apartheid.

Lakini pale walipokubali kuuwekea utawala huo vikwazo vya kiuchumi ndani ya takriban miaka mitatu utawala wa makaburu ukiporomoka na kupelekea akina Mandela kuachiliwa huru.

Labda ulikuwa mdogo hukuweza kuelewa jinsi serikali za Marekani na Uingereza zilivyosaidia utawala wa makaburu kuendelea kuwepo hadi walipoamua kuuwekea vikwazo vya kiuchumi.

Sidhani kama unafahamu ni kivipi taifa la Sudan ilivyokuja kugawanywa na kuupelekea taifa la Sudan Kusini kupatikana, sitakuambia mimi na kama hufahamu basi.

Hata kule Indonesia kilichopelekea East Timor kupewa uhuru baada ya kunyanyaswa kwa muda mrefu na Indonesia pia inaonekana hujui, pia sitakuambia.

Huu mfumo wa vyama vingi kwa akili yako unafikiri mataifa ya Afrika walipenda wawe nao.! Inaonekana wewe hujui mambo mengi sana hivyo una safari ndefu kuja kujua mambo, ndio shida ya kusikiliza sana vituo kama akina TBC.
 
Wakati wa utawala wa makaburu wa Afrika Kusini Ronald Reagan na Margreth Thatcher mara ya kwanza walikataa katakata kuuwekea huo utawala vikwazo vya kiuchumi ili kuulazimisha utawala huo kuachana na sera yake ya Apartheid.

Lakini pale walipokubali kuuwekea utawala huo vikwazo vya kiuchumi ndani ya takriban miaka mitatu utawala wa makaburu ukiporomoka na kupelekea akina Mandela kuachiliwa huru.

Labda ulikuwa mdogo hukuweza kuelewa jinsi serikali za Marekani na Uingereza zilivyosaidia utawala wa makaburu kuendelea kuwepo hadi walipoamua kuuwekea vikwazo vya kiuchumi.

Sidhani kama unafahamu ni kivipi taifa la Sudan ilivyokuja kugawanywa na kuupelekea taifa la Sudan Kusini kupatikana, sitakuambia mimi na kama hufahamu basi.

Hata kule Indonesia kilichopelekea East Timor kupewa uhuru baada ya kunyanyaswa kwa muda mrefu na Indonesia pia inaonekana hujui, pia sitakuambia.

Huu mfumo wa vyama vingi kwa akili yako unafikiri mataifa ya Afrika walipenda wawe nao.! Inaonekana wewe hujui mambo mengi sana hivyo una safari ndefu kuja kujua mambo, ndio shida ya kusikiliza sana vituo kama akina TBC.
Mimi sijali wala sitaki kujali nnachotamani ni kila mtu awe na maamuzi yake.ukichelea kwamba mpaka sasa nina miaka kumi na tatu tu.
 
Ww unataka trump aje akuonyeshe kweli punguani ni wengi
Trump tatizo lake kubwa ni kwamba anajidai kwamba hajali mambo ya Afrika hivyo anapotawala ndio madikteta wa kiafrika hutumia huo mwanya kunyanyasa wananchi wao.

Huo mwanya ndio akina Magufuli walitumia kuhujumu chaguzi mbalimbali nchini ikiwemo ile ya mitaa na uchaguzi mkuu.

Sawa hatukatai anaweza akawafaa wamarekani lkn kwa sisi waafrika itakuwa ni kilio, hata hivyo kwa namna kukubalika kwake kulivyo shuka hata ndani ya chama chake cha Republican hawezi kutoboa na hata hao wanaotangazwa sasa hivi wote hamna kitu watakuja wengine kabisa ambao bado hawajajitokeza kwa sasa.
 
Mzuka Wanajamvi!

Sasa hivi kuna mtifuano ndani ya chama cha Republican. Trump na gengeelake wanamnyooshea kidole senator minority mitch McConnell eti ndie amesasababisha Republican kufanya vibaya na kuifanya Democrats kuchukua senate.

Lakini ikumbukwe huyuhuyu Mitch McConnell alitahadharisha kabisa kabla ya uchaguz wagombea Trump aliowapendekeza (endorsed) kwa senate hawakidhi vigezo na watapoteza kina Trump wakamtukana na kumdhihaki.

Pia alitahadharisha kwenye Congress house watapoteza viti vingi sana japo watashinda kwa mbinde ma nikweli itatokea hivyo. Na wagombea 30 Trump aliowapendekeza wote wameangukiwa pua.

Republican, pollsters na vyombo vya habari walitabiri watashinda kwa kishindo tena mapemaa nakuiita Red wave. Matokeo yake wanachekwa sasa hi red splash.

Sasa hivi Ron Desantis anapigiwa debe na wajumbe wengi wa Republican agombee urais 2024 kitu ambacho kinamuuma sana Trump.

Pia wamependekeza Desantis badala ya Trump aongoze kwenye campaign ya uchaguz wa marudio ya useneta Georgia kati ya Republican Hersel Walker na incumbent pastor John Warnock wote waafrika wanadai Trump ataharibu.

Kwa upande mwengine Joe Baden yuko na furaha in a great Mood baada ya Democrats kufanya vizuri na maajabu kwenye huu. Alipohojiwa jumatano iliyopita kwa dhihaka alisema the red wsve they predicted did not happen. Na alipoulizwa kuhusu Desantis na Trump akajibu it'll be fun watching them takiyon each other.

Trump sasa hivi anakabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa Governor wa Florida Ron Disantis na Governor wa Virginia Glenn Younking.

Juzi Trump kajigamba bila yeye Ron Desantis asingechaguliwa ugavana 2018 kwasababu alimkingia kifua na kumlinda kwa kura zisiibiwe wakati ni baseless allegations. Pia amemponda Youngking ni jina la kichina wakati ni uwongo.
Ron Desantis mshenzi na racist kama mpuuzi mwenzake Trump Tu ,Yule governor WA Florida au Trump wakipitishwa kugombea ,bado republican wameula wa chuya , white house wataisikilizia kwenye bomba la Dawasa .Watapigwa chembe kidevu moja matata .Halafu republican wanamgwayavsana yule Kenge Trump sijui kwa nini ,ni ajabu mkongwe kama Mitchy McConnell kwenye senate na chama cha republican amekuwa akifumbia upuuzi wa yule pimbi ,Trump chokoraa yule aliwahi mtukana kwenye simu na tweeter ,yule Ted Cruz aliwahi tukaniwa mke wake na huyo fala ,let alone mkongwe kama John McCain na wengine wengi .
 
Trump! He has no place in civilized community!
Down Trump!
Majitu mengi hayajui yule takataka alivyo mpuuz ,tangia ile white supremacist chaos Kule challotsville virginia iliyosababisha kifo na massshooting halafu yeye bado anacondone waliofanya ule ushenzi .
 
Trump! He has no place in civilized community!
Down Trump!
Democrats na wengine mwenye mlengo wa kushoto wanamwogopa Trump, na hapo ndio nguvu yake ilipo.

Ukiona watu wanaogopa hata kurudishwa akaunti yake ya Twitter jua hao watu ni dhaifu sana.
 
Trump tatizo lake kubwa ni kwamba anajidai kwamba hajali mambo ya Afrika hivyo anapotawala ndio madikteta wa kiafrika hutumia huo mwanya kunyanyasa wananchi wao.

Huo mwanya ndio akina Magufuli walitumia kuhujumu chaguzi mbalimbali nchini ikiwemo ile ya mitaa na uchaguzi mkuu.

Sawa hatukatai anaweza akawafaa wamarekani lkn kwa sisi waafrika itakuwa ni kilio, hata hivyo kwa namna kukubalika kwake kulivyo shuka hata ndani ya chama chake cha Republican hawezi kutoboa na hata hao wanaotangazwa sasa hivi wote hamna kitu watakuja wengine kabisa ambao bado hawajajitokeza kwa sasa.
Hakuna anaye jali maslahi ya Afrika, Raisi wa US na taifa lolote anatanguliza maslahi ya nchi yake kwanza .

Misaada, mikopo, yote ninkwq maslahi yao.
 
Trump ni mtu hatari sana kwa usalama wa dunia nzima.

Trump ndo mister apocalypse endapo atarudi tena madarakani 2024.
Trump ni kiongozi muoga sana tofauti na unavyomfikiria vita ya Ukraine kama ingekuwa yeye ndio rais wa Marekani tayari Mrusi angekwisha weka wakala wake pale kwenye ardhi ya Ukraine
 
Trump ni kiongozi muoga sana tofauti na unavyomfikiria vita ya Ukraine kama ingekuwa yeye ndio rais wa Marekani tayari Mrusi angekwisha weka wakala wake pale kwenye ardhi ya Ukraine
Wee yule jamaa sio kabisa
 
Back
Top Bottom