Airfryer
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 430
- 1,039
Kitu gani kilikufanya ushindwe kupata First Class, Mbona mambo rahisi sana sanakwasababu GPA yako ni kubwa😎😎 ni nlipata 2.4
Sasa kama ulishindwa kupata First Class utaweza elewa ukitumwa Training na ofisi Canada au Spain?
Kama mambo madogo ya darasani yalikushinda nani atakuamini kwa mambo makubwa?