Siasa za SUGU na VINEGA


Huu ni ujinga mtupu, wacha wana Mbeya tuendelee kukaa bila mbunge hadi 2015. Eti Sugu mbunge, hana lolote pimbi mfupi kuliki wote huyo
 
Wajua Dar, Arusha, Mbeya na kokote Vinega wanapopiga show Sugu hachukua mgao 'as msanii'

ni ile tu inayochukuliwa na Deiwaka 'as Company'

kiasi kilichobaki Magenge wanaweka mezani wanagawana sawa

unajua ni wasanii wangapi walishasahaulika lakini sasa Clouds wameanza kuwatumia ku'counter fleva ya Vinega?
 
Huu ni ujinga mtupu, wacha wana Mbeya tuendelee kukaa bila mbunge hadi 2015. Eti Sugu mbunge, hana lolote pimbi mfupi kuliki wote huyo

jenga hoja wewe mpumbavu mkubwa

eti wabunge warefu ni bora
 
watoto mliozaliwa guest house mnamtindio wa ubongo.

Huyo ni pimbi tu na mwisho wake 2015, tayari jimbo limeshapata mtu rasmi. Nyie endeleeni tu kumjaza ujinga na hayo ma vinega yenu ndiyo atakapo rudi barabarani mwaka 2016 musije mkamkimbia
 
hawa jamaa wasifanye tena uhuni kama waliofanya kwenye ishu ya kuchangia maafa ya kilosa..yani utapeli mpaka kwenye matatizo ya watz wenzio..

hawawezi kuacha...hao kina Ruge ni vijana wa mjini....kwao kila kitu ni DILI.
 
Concert imeingiza 3.6 mil., 1.2 mil zimetumika kuwanunuulia mahindi wakazi wa jimbo la SUGU. 2.0 inatumika kucover gharama za kusafirisha VINEGA na gharama za makazi jijini Mbeya pamoja na ulinzi na gharama nyingine za maandalizi. Pesa zinazobaki ni kama sh. laki nne hivi ndizo watakazogawana VINEGA, so kila KINEGA atatoka na kama sh. elfu 20 baada ya kumsaidia SUGU kutekeleza ahadi ya sh. milioni moja na laki mbili jimboni kwake.
 
Sioni maana ya mjadala huu maana jamaa kuna sehemu anauliza swali alafu analitolea jibu yeye mwenyewe na sio sisi aliye tuuliza...........??? Sasa sisi tutachangia nini alafu vinega hawapo kwa maslai yao zaidi wapo kwa ajiri ya ukombozi wa sanaa bongo ukichanganya na mwisho wa unyonyaji wa wafu fm............jichunguze tena ujiangalie vema
 
Hivi hawa vinega wameishia wapi?
Tunawahitaji wafanye fundraising kwa ajili ya maafa ya MV Skagit.
 
Hivi hawa vinega wameishia wapi?
Tunawahitaji wafanye fundraising kwa ajili ya maafa ya MV Skagit.

Toilet paper hairudiwi mara mbili hata ukiwa bahili kiasi gani lazima uitupe ukimaliza kuitumia.
 
Uzuri wa watu wajinga ni uwepo wao kila mahala bila kikomo. Atatafuta wapuuzi wapya.
Show ya juzi ya sugu iliyofanyika dar live vinega walikua ni washirika wakubwa na walipiga show nzuri sana.
Vipi harakati za vinega zilikuumiza??


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

ni mnafki ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…