Ezra cypher
JF-Expert Member
- Jul 17, 2024
- 244
- 904
Lissu ameshatengenezwa π€π€π€Lissu mtu mbadi.
CCM wenyewe wanalijua hilo
π€£π€£π€£π€£
πππLisu katuonesha kuwa hata chadema napo Kuna machawa na wachumia matumbo
ππππππ
Yule chawa wa Mbowe anaitwa Erychrocite simuoni tena jukwaani hapaππππππ
Mwamba atapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho tetemesha
It is the right time kwa mbowe kuachia madaraka kulinda heshima. Ameshakaa madarakani miaka 21. Inatosha, na amefanya mambo mema. Ni muda sahihi sasa wa yeye kuachia ngazi na wala siyo kwa ubaya.Pole Sana Mh Mbowe na hongera Sana , sikutegmea Kama ungeingia katika uchaguzi huu wa mwenyekiti Taifa Kama Underdog
Yericko Nyerere achana na kuafanya ibadi zisizo eleweka maana dua za mizimu yako haifanyi Kazi tena.
Lucas Mwashambwa pole Sana na utaratibu wenu wa nusu mkate unaenda kukomeshwa
HagombeiMwamba atapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho tetemesha
AaaaHagombei
Hii Ilikuwa Kabla ya Tamko Mkuu!Aaaa