Siasa za Tanzania zimejaa vituko

Siasa za Tanzania zimejaa vituko

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nimecheki hili bango nimeishia kucheka ingawa jambo lenyewe ni zito .
2875004_1628441461282.png
 
CCM wanatumia nguvu kubwa kubaki madarakani kuliko kulijenga Taifa na Watu wake. Utaona kila watakachofanya watataka sifa na kutengeneza vipeperushi vya kielektronic vya kusifiana na picha pembeni, utafikiri wametenda miujiza kumbe ni kodi za wananchi, na unaweza kuta wakikwambia gharama ni Bilioni 1 jua 40% ya 1bil ni 10% na upembivu yakinifu.
 
Wamemteua au wamembatiza? naona kama wamembatiza ingefaa zaidi.
 
Wangemuachia tu huyo Mbowe, mambo mengine hayana hata msingi
 
Back
Top Bottom