Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Chama cha siasa kinachoongoza nchi kinajiita cha kijamaa wakati chenyewe kinaendesha nchi kibepari.
Kuna watu wanajifanya ni wapinzani lakini kutwa kucha wako bize kuisifia CCM.
Kuna watu ni wasomi lakini matendo yao ni kama hawajasoma kabisa. (Kabudi style)
Kuna watu wanasajili Kampuni (Kalynda) lakini wanasema hawajui ilikuwa inafanya shughuli gani?
Yaani Tanzania huwezi kuujua msimamo wa mtu maana anachokipinga ndicho anachokifanya na anachokifanya ndicho anachokipinga.
Kuna watu wanajifanya ni wapinzani lakini kutwa kucha wako bize kuisifia CCM.
Kuna watu ni wasomi lakini matendo yao ni kama hawajasoma kabisa. (Kabudi style)
Kuna watu wanasajili Kampuni (Kalynda) lakini wanasema hawajui ilikuwa inafanya shughuli gani?
Yaani Tanzania huwezi kuujua msimamo wa mtu maana anachokipinga ndicho anachokifanya na anachokifanya ndicho anachokipinga.