Siasa za visasi: Rwanda yapandisha ushuru kwa magari ya mizigo yanayotokea Tanzania

Status
Not open for further replies.
Advantage ya udhaifu wetu ktk uongozi ndiyo kinachotugharimu hapa mpaka watz wanatokwa povu kila mtu.
Kaswali kadoogo tu, reli ya kati Dar-Kigoma ingekuwa inafanya kazi Paulo asingekuwa na kiburi hiki cha kwenda Mombasa Port na kujenga reli.
Outcome za ufisadi zimetapakaa mpaka kwenye anga za kimataifa sasa zinatutafuna taratiibu.
 
Kwa mujibu wa taratibu za kiforodha ushuru wa gari la kigeni kwa kila km 100 ni USD 6 kwa gari lenye excel chini ya tatu na USD 15 kwa lenye excel zaidi ya tatu.
Kutoka RUSUMO-DSM-RUSUMO gari(semi trailers/pulling) za Rwanda hulipa USD 500 kwa sababu ya umbali huo,ila kwa gari za Tanzania hulipa kiasi hicho USD 15 kwa kila km 100 kwa safari ya RUSUMO-KIGALI-RUSUMO ambayo umbali wake haulingani na ule wa kuja Dar.
Kwa hiyo kutoza gari za Tanzania USD 500 kwa safari ambayo ni fupi(Rusumo-Kigali-Rusumo) ni kuvunja taratibu za kiforodha.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
jamii wale wanaosema Tanzania haitaumia sijui hawasomi habari. mombasa kuna bandari na ushuru wa kuingiza mizigo kutoka mombasa ni ile ile na kuingiza kutumia Tanzania imezidi kwa $350. wale wanosoma biashara wanajua kama kuna njia ya ku reduce cost itumie hapa wafanya biashara wa rwanda wataihama bandari ta Tanzania na watakua wanatumia ya mombasa. hii itafanya wengi kukosa kazi especially wale wasafirisha mizigo.
 
Nobody will ask Dictator Kagame,they have to follow the order otherwise he/she will be killed
 
Kwa tafsiri ya haraka, bidhaa za TZ zirakuwa bei juu wkt za nchi nyngne zikiwa chini na kusababisha bidhaa za TZ zisinunulike,hvyo hasara kwa wa TZ.

Hebu nikuulize wateja wa bidhaa za Tanzania Rwanda ni wangapi? Na mkipandisha bei unadhani Tanzania imeshindwa kupata pengine kwa kuuza bidhaa zake? Subirini tu tuwatandike DRC mtajua soko la bidhaa za Tanzania litaenda wapi tushawachoka nyie mafisi wa ardhi
 
nimefuatilia kwenye google kuhusu transport industry na road toll ya rwanda nimegundua kumbe tz ina charge dola 500 kwa kila lori la rwd lilokuwa linaingia tz,chama cha wenye trucks huko rwd walikuwa wanalalamikia sana serikali yao kwasababu ilikuwa rahisi kwa mfanyabiashara wa rwanda kukodi lori la tz kuliko la rwanda!!!kwa hili labda ilikuwa ni pure fair competition decision!!!!
 
Mombasa kuna urahisi wa customs office kuwepo kigali na magari yao hayatatopzwa sana lakini hii advantage inafutika na umbali na risk factor ya mizigo kupitia nchi zaidi ya moja (uganda) ambayo na yenyewe ikiwa na mshike mshike mfano uchaguzi wake mizigo inachelewa, kwenye biashara tofauti na siasa kuna mantiki na kanuni na hawa wafanyabiashara wa Rwanda wataona kua Dar bado ina competitive advantage kwao haswa kwa mizigo mikubwa kuliko mombasa.
 

Habari ndo hiyo..''Action and reaction are Equal but opposite''!
 

Nashangaa watu hapa Jukwaani Full Kumsakama Kagame and at the same time wanasema Kagame na Raia wake ndo wataumia kwa kupandishwa ushuru wa Ma Roli yatokayo Tanzania.
Hii Huruma kwa Kagame imetoka wapi ?? huu usitaki nataka tunamuonesha nani sasa.??
Kama kaamua kupandisha ushuru, ton hell wit him so long as hatuathiriki kwa namna yeyote sisi kama Wa Tanzania
 
Ni muda muafaka kwa serikali ya JK kusimama kiume na kuionyesha Rwanda kwamba tuko ngangari (Siyo vita). kulegea legea na kurudi nyuma katika maamuzi magumu tuliyokwisha chukua (kwenda DRC, na kuondoa wahamiaji wasiofuata taratibu) kunaweza kutafsiriwa kuwa sisi ni nchi ya waoga. Serikali haina budi kuiuliza Rwanda ni kwa sababu gani imeamua kuibagua Tanzania katika uamuzi wake wa kupandisha ushuru wa magari?.

Serikali ichukue uamuzi maridhawa ikiwemo Kampeni kamambe ya kuhakikisha Kagame na Washirika wake wanafikishwa the Hague kujibu mashitaki ya mauaji ya Halaiki huko Kongo.
 

Acha uongo, ukweli ni huu hapa:

Rwanda imekua ikitoza $ 152 kwa lorry moja wakati Tz ilikua inatoza $16 kwa KM 100 (sawa na $ 190 mpaka Rusumo). Ukiangalia hizo bei kwa kuzingatia urefu wa barabara unaoharibiwa na malori hayo, basi ni ukweli usiopingika kwamba Rwanda walikua wanatoza fedha nyingi sana za kuikomoa Tanzania ($152 kwa KM 160 mpaka Kigali). Hata hivyo muda si mrefu Tanzania kupitia makubaliano ndani ya SADC ilikua imekubali kupunguza mpaka $8 kwa KM 100 (sawa na $80 tu mpaka Rusumo) bila kujali kama ni member wa SADC au EAC. Hii ilikua favor.

Sasa kuwalazimisha wananchi wake kutumia Mombasa ambayo ni Km 2700 kutoka Kigali badala ya Dar es salaam ambayo ni Km 1300 atakua amewakomoa watanzania pekee? Mi naamini kwa mfanyabiashara makini bado hilo ongezeko haliwezi ku-justify kuhama bandari ya Dar!.

Tz tusikurupuke na ku-Punic halafu tukapunguza bila kufanya uchambuzi wa kina. Bandari ya Dar haiwezi kushindana na Mombasa katika hili kama itaboreshwa na Reli ikaboreshwa vizuri! Still Wanyarwanda mtaweza kusafirisha mizigo yenu kwa haraka na bei nafuu kwa kutumia reli mpaka bandari ya Isaka halafu mkachukua mizigo yenu kwa kutumia malori yenu. Road Toll itakua $ 24 tu!

Acha siasa kwenye mifuko ya watu wako bwana Kagame, utapata upinzani wa ndani usioutegemea!
 
Hivi Rwanda inaingiza mizigo kiasi gani hadi iwe ishu kale ni kanchi sawa na zanzibar tu

Kama huna upeo mkubwa tulia kangekuwa ka-inchi kadogo hata mada isingeingia humu, kinachomata ni pesa wala sio ukubwa wa nchi. Huna pesa hata kama utapewa africa yote wewe bado fara tu.
 

imeshawahi chukua maamuzi ngangari mangapi kama wewe ni mtanzannia unayeijua nchi yako kwa kipindi cha miaka nane iliyopita??
 
watusi shida kweli kweli, kuwapokea kama wakimbizi tu ishakuwa nongwa, just weight your days are numbered.
My days will never be numbered, don't fool yourself. I don't like the entire situation with Rwanda, JK needs to put his ego aside and uses his diplomatic experiences to solve this issue. Its for better and don't wait for the worse
 
He! Kumbe sisi tunataka tulipe kodi ndogo kwao kwa magari yetu wao walipe kubwa kwetu! Mwacheni kagame ajenge uchumi wa nchi yake nyie kwenu mnajikanyaga tu
 
My days will never be numbered, don't fool yourself. I don't like the entire situation with Rwanda, JK needs to put his ego aside and uses his diplomatic experiences to solve this issue. Its for better and don't wait for the worse

mipango ipo mezani, ikikamilika tutaona kama kuna haja ya kutafuta suluhu na mhuni, mchu wa madaraka, mporaji wa mali asili za mataifa ya jirani , na mhalifu wa kivita dhidi ya ubinadamu DRC na rwanda. Ungekuwa na chembe ya busara hata kidogo ungelaani kwanza vitisho na kejeli za dikteta kagame kwa raisi wetu na nchi yetu. Kagame ametuonyesha jeuri na kiburi hali ya juu na tutatumia njia hiyo hiyo kumfundisha jinsi ya kuishi na mataifa jirani kwa ustaarabu, tatizo pk anadhani watu wote wana maisha ya kutangatanga kama kuku wa kienyeji kama alivyozoea yeye na watusi wenzake ! tutamshikisha adabu.
 
Ungemshauri rais wako awe anasoma kwanza vyanzo vya migogoro kabla ya kuongea anachokiita ushauri, kagame amekerwa na ushauri wa haraka haraka wa kikwete ambao unamfanya aonekane ni kiongozi mjinga asiye na fikra wakati kiukweli amefanya kazi kubwa kuifikisha rwanda hapo ilipo leo, mwacheni kagame ajenge nchi yake au mnataka kuifanya rwanda kama zanzibar?
 
Kagame ni kichaa, sasa ukipigana na kichaa, wote ni vichaa. Je wewe umepigana na ombaomba wangapi ambao ukiwanyima pesa wanakutukana? Maneno hayaui, lakini kama atashanbulia TZ, hatuna budi kujitetea. Be smart
 
They need us we dont need them! kwanza ka nchi kenyewe kadoooogo, bora mikwala hiyo wangefanya DRC!
 
kagame ni kichaa, sasa ukipigana na kichaa, wote ni vichaa. Je wewe umepigana na ombaomba wangapi ambao ukiwanyima pesa wanakutukana? Maneno hayaui, lakini kama atashanbulia tz, hatuna budi kujitetea. Be smart

mashambulizi yapo ya aina nyingi, hata kutoza ushuri mkubwa kwa malori ya tanzania ni aina ya mashambulizi , yapo mengi yanayothibitisha hujuma za pk kwa watanzania na tanzania kuanza na vikao vya kujaribu kuitenga tanzania na mataifa mengine jirani, kuhusika kwa majeshi ya rwanda moja kwa moja kuyahujumu majeshi ya tanzania yaliopo huko drc kwa mwavuli wa kulinda amani wa un, haya na mengineyo mengi ya kiintelijensia yanatufanya tuwe tayari kwa lolote dhidi ya huyu dikteta , anaweza akaamua lolote BAYA MUDA WOWOTE DHIDI YA WATANZANIA !
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…