lugoda12
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 276
- 574
DAR ES SALAAM; MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema ana sifa na uwezo wa kuongoza nafasi ya uenyekiti kwa weledi.
-
Lissu amesema kutokana na weledi wake kwenye uongozi, ndio maana Chadema ilimuona anafaa kugombea Urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
-
Amesema anashangazwa na maneno ya baadhi ya viongozi na wanachama wa Chadema wanaosema hafai kuongoza nafasi hiyo ya uenyekiti.
-
“Naambiwa na wanachama wangu na viongozi wenzangu kwamba huyu Lissu hafai kabisa, hafai hata kuongoza mtaa. Ila huyu Lissu ambaye hafai kabisa kuwa mwenyekiti alikuwa anafaa kuwa Rais kwenye uchaguzi wa mwaka 2020?” Amehoji.
-
Alisema hatishiki na maneno waliyombatiza baada ya kuingia kwenye mchuano wa kugombea uenyekiti kwa sababu anafahamu maneno hayo ni ya kiuchaguzi tu.
-
Lissu amesema kutokana na weledi wake kwenye uongozi, ndio maana Chadema ilimuona anafaa kugombea Urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
-
Amesema anashangazwa na maneno ya baadhi ya viongozi na wanachama wa Chadema wanaosema hafai kuongoza nafasi hiyo ya uenyekiti.
-
“Naambiwa na wanachama wangu na viongozi wenzangu kwamba huyu Lissu hafai kabisa, hafai hata kuongoza mtaa. Ila huyu Lissu ambaye hafai kabisa kuwa mwenyekiti alikuwa anafaa kuwa Rais kwenye uchaguzi wa mwaka 2020?” Amehoji.
-
Alisema hatishiki na maneno waliyombatiza baada ya kuingia kwenye mchuano wa kugombea uenyekiti kwa sababu anafahamu maneno hayo ni ya kiuchaguzi tu.