Shekhe Gorogosi Jr
Member
- Jun 7, 2012
- 65
- 12
Utamlipa mwezi wa kwanza full pay,second month full pay,third half pay and thereafter you can proceed with termination.Ila angalizo ni kwamba,kama ugonjwa alionao unamwezesha kufanya shughuli nyingine sheria inazuia mtu wa namna hiyo asiwe terminated,badala yake apewe kazi nyingine yoyote iliyopo ambayo inaendana na hali aliyonayo.
nadhani ni vema kukawepo na document kutoka kwa daktari inayoonesha kuwa muhusika hawezi/hataweza kutimiza majukumu yake ya kikazi kwa muda mrefu ujao kwa sababu ya ugonjwa alionao.