Shekhe Gorogosi Jr
Member
- Jun 7, 2012
- 65
- 12
Jamani nisaidiwe maelezo yanayofaa yakielezea utaratibu mzuri wa mgonjwa kazini aliyekwisha pewa likizo ya ugonjwa na bado ni mgonjwa nitumie utaratibu gani kumterminate? Najua Sec 32 ELRA inavyoeleza.... Nimepitia kidogo kanuni zinaelezea utaratibu kwa Mgonjwa aliyeumia kazini tu,... TAFADHALI WADAU.