Sidhani kama nitakuja kuoa katika maisha yangu yote

Sidhani kama nitakuja kuoa katika maisha yangu yote

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada, sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu. Nimempa heshima zote, nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!

Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu. Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu, mara nilie. Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena. Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.

Eee Mungu wewe unajua bwana

1621234033997.png




Nyieeee kuna UPDATES ya huu uzi imenifika,aisee!


UPDATES:

Baada ya kunifanyia hivyo mwanzoni mwa mwaka huu,niliamua kukaa kimya ma kumwachia Mungu. Sasa jana nikiwa nimejipumzisha home mara namba ngeni inaita.Nikapokea nikasikia sauti ya kike.Nikamsikikiza,huku akiwa bado hajajitambulisha.Akaniuliza nipo wapi nikamjibu home,hakusema kuwa anataka kuja but alionesha kabisa anahitaji onana nami.Nikauliza kwani nani mwenzangu?akajibu mie Flaviana (si jina halisi). Nika respond normal,na kumjulia hali yeye na family yao kiungwana kabisa. Baada ya story hizo akaomba tuonane,me nikasema karibu nyumbani.Akasema sawa nakuja,ni kweli akafika tukaongea mengiiiiiiiiiii,nikauliza kilitokea nini?akajieleza,nikasema sawa hamna shida.
Akasema nimekuja KUOMBA MSAMAHA,nikamwambia "uenende kwa amani ya bwana,sina kinyongo na Mungu akubariki"
Weeee akaanza kulia,anasema "naomba unisamehe ili nipate kuutua mzigo nilio nao,hapa nilipo nimekata tamaa ya kuishi,hata masomo sijui kama nitamaliza. (Huyu mtu ndo anaingia mwaka wa pili wa masomo). Nikasema sina shida, moyo wangu mweupe.

Hapo analia kweli,nikauliza nini shida? Akasema nina UJAUZITO! (Asalaaaaale)!!!
Kuja kuangalia! Ni kweli shost towaaaa!

Nilichofanya ni kumpa courage basi. Baada ya ushauri na kumpa nguvu nikamwambia arudi nyumbani me nimemsamehe.

Ikaishia hivo.

Sijafurahi,nimeumia sana maana sijui hatma yake katika
1.masomo kumaliza
2.kukamilisha huu uzazi
3.kuolewa
Namwombea Mungu aweze yote hayo.


Ukiuumiza upendo wa kweli hutobaki salama.Mungu ni fundi sana sana.


Hii ni kweli na si story ama porojo.Maisha kwangu yanaendelea.Samahani kwa kuwachosha.
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa Amelia na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.
Pole.Relax nakuhakikishia yatakwishaa utasahau na itafika muda utapata mtu sahihi.

Mungu alivofundi utasahau.
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa Amelia na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.
Miaka minne mko mnacheza kidalipo tu mbususu hujapewa,wewe pia ni tatizo..wanawake wa kizazi chezi unawaamini kbs?
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.
Muwe mnauliza baba zenu wamewezaje kuishi namama zenu sio mchezo piga moyo konde sidhani kama kunamkamilifu
 
Pole sana, haya mambo ukiyafatilia kwa undani unaweza potea kabisa na ukawa mtu mwingine kubwa kuchukulia ni kuwa na ile falsafa binaadam ni kiumbe ambacho hakitabiriki na usimuamini mtu yoyote chini ya jua yaani usimpe mtu asilimia zote awe utakavyo

Pia huwa nahisi hata haya masuala ya ndoa kwa maana ya kuwa na mke mmoja (4 kwa baadhi ya imani) au mwanamke kuwa na mtu huyo huyo labda yanakinzana na maumbile yetu kama binaadam labda ki asili yetu sisi ni myama-jamii (anapowaka kwa hisia haijalishi kwa mtu maalum kwa mwanamke anataka kupandwa na mwanaume kupanda) Ndoa na taratibu zingine ni kuondoa tu misuguano inayoweza kutokea sababu ya wivu na dhana nzima ya binaadam kutaka kumiliki yeye kwa maana ya choyo na ubinafsi wetu (Ni mtizamo wangu tu siyo fact)

Tukirudi ktk topic yako, kuoa au kuwa na mahusiano mengine yatakuja yenyewe ukiisha tulia ( sijui umri wako hapa) hasira zitaisha utapata mtu labda atakuumiza tena lkn najua utakuwa usha komaa tayari na uta ‘handle’ vizuri tu,mengine ni hasira tu na waswahili wanasema ‘muda ni dawa’
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
Pole. Relax. Usijiapize, ulimwengu una mengi, safari bado ni ndefu.
 
Yani kwa namna nilivyoumizwa na huyu dada,sidhani kama nitaoa katika Maisha yangu.Nimempa heshima zote,nimejitoa sana Kwa miaka 4 but ukiwa umebaki muda mfupi niende kwao nimvishe Pete mbele ya wazazi wake ananisaliti na kukiri kuwa ameliwa na hana bikra tena?!
Nimekaa kimya,nimemwachia Mungu.Atanijibia katika hili na kuvuja kwangu damu ndani ya nafsi yangu.

Ni wiki 2 sasa hata kula nashindwa,kuna muda nacheka peke yangu,mara nilie.Nimekuwa sijipendi na naona sina thamani tena.Sipendi pombe lakini imekuwa kimbilio langu na nisipokunywa mateso ni makubwa.


Eee Mungu wewe unajua bwana
pole man. ila 4yrs mlikuwa mnafanya project gani
 
Back
Top Bottom