Sidhani kama simba wamefanya sahihi kwenye hili!!

Sidhani kama simba wamefanya sahihi kwenye hili!!

carnage21

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2023
Posts
591
Reaction score
1,382
Zimepita siku kadhaa, Simba SC walitangaza Jezi ambazo watazitumia kwa ajiri ya Michezo ya AFRICAN Football League ambazo Zilitakiwa kuwa na Logo za Wadhamini wa Mashindano na Logo ya shindano lenyewe.

Lakini Cha Kushangaza Katika Mchezo Wa marudiano hapo Jana Dhidi ya Al Alhly, Simba SC walitumia Jezi ambazo hazikuwa na Logo za Wadhamini (Visit Rwanda na Visit Saudi) wala Logo ya Mashindano Inashangaza Sana.

Kama CAF wanahitaji Mashindano haya ya African Football League Kuwa Na Ukubwa na Bora Zaidi Afrika Mambo Kama Haya hayapaswi kujitokeza Wadhamini Wapewe Haki yao.... Walichokifanya Simba SC haipaswi kuwa hivyo.

Au ndio Soka letu Kivyetu Vyetu? 🤔
FB_IMG_16982217346467005.jpg
CREDIT:fredy john jr
 
Zimepita siku kadhaa, Simba SC walitangaza Jezi ambazo watazitumia kwa ajiri ya Michezo ya AFRICAN Football League ambazo Zilitakiwa kuwa na Logo za Wadhamini wa Mashindano na Logo ya shindano lenyewe.

Lakini Cha Kushangaza Katika Mchezo Wa marudiano hapo Jana Dhidi ya Al Alhly, Simba SC walitumia Jezi ambazo hazikuwa na Logo za Wadhamini (Visit Rwanda na Visit Saudi) wala Logo ya Mashindano Inashangaza Sana.

Kama CAF wanahitaji Mashindano haya ya African Football League Kuwa Na Ukubwa na Bora Zaidi Afrika Mambo Kama Haya hayapaswi kujitokeza Wadhamini Wapewe Haki yao.... Walichokifanya Simba SC haipaswi kuwa hivyo.

Au ndio Soka letu Kivyetu Vyetu? 🤔View attachment 2792188CREDIT:fredy john jr
Siyo hivyo tu mkuu hawa majamaa hawako serious

Kama jana ulifatilia utagundua kuwa hizo ni jezi za ligi kuu ambazo walibandua ile logo ya twiga(NBC)

Nahisi kuna jambo halikua sawa katika jezi zao za away walizozindua isitoshe kwenye hii michuano ya AFL hawakuzindua thirid

Kuna jambo hapa sema hawawezi kuliweka wazi ,POOR PREPARATIONS
 
Pia timu ya Al ahly hawakuvaa jezi yenye wadhamini husika.
Je una ushahidi kwa unachoongea au ndo ushabiki tu mkuu?

Mdhamini anaekaa kwenye jezi ni VISIT RWANDA na al ahly walivaa jezi hizo

Kwa simba ni ally salim pekee ndo alivaa jezi yenye mdhamini .ila wachezaji wengne wote walivaa jezi za ligi kuu zilizotolewa nembo ya NBC
 
Zimepita siku kadhaa, Simba SC walitangaza Jezi ambazo watazitumia kwa ajiri ya Michezo ya AFRICAN Football League ambazo Zilitakiwa kuwa na Logo za Wadhamini wa Mashindano na Logo ya shindano lenyewe.

Lakini Cha Kushangaza Katika Mchezo Wa marudiano hapo Jana Dhidi ya Al Alhly, Simba SC walitumia Jezi ambazo hazikuwa na Logo za Wadhamini (Visit Rwanda na Visit Saudi) wala Logo ya Mashindano Inashangaza Sana.

Kama CAF wanahitaji Mashindano haya ya African Football League Kuwa Na Ukubwa na Bora Zaidi Afrika Mambo Kama Haya hayapaswi kujitokeza Wadhamini Wapewe Haki yao.... Walichokifanya Simba SC haipaswi kuwa hivyo.

Au ndio Soka letu Kivyetu Vyetu? 🤔CREDIT:fredy john jr
Unao mkataba wa udhamini?
 
Back
Top Bottom