Tetesi: SIDO kuanza kutengeneza ndege/Airplane 2018?

Tetesi: SIDO kuanza kutengeneza ndege/Airplane 2018?

kama diamond kaweza kutengeneza pafyumu itashindikanaje taasisi kubwa kama SIDO yenye matawi nchi nzima hata wakiamua kila mkuu wa wilaya awe na ndege yake inawezekana
 
Kuna vipaji vingi kitaa viliwahi kupaisha ndege au helicopter inawezekana kabisa

 
SIDO ni zaidi ya NASA (USA) ikiwezeshwa watu wana vyeti vyao original pale wametulia tu ofisi. Wameanza na Batiki na inafanya vizuri sokoni.
 
Fix tu hizo.... mmeshindwa kufufua kiwanda cha ZZK MBEYA na kile cha magari ya kuunganishwa (Nyumbu) mtaweza ndege? Wadanganyeni wasiowafahamu au wasahaurifu
 
SIDO pale VINGUNGUTI kufagia (kufanya usafi) hata kupiga rangi yale ma-godown yao tu kumewashinda, itawezekanaje ndege?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kama diamond kaweza kutengeneza pafyumu itashindikanaje taasisi kubwa kama SIDO yenye matawi nchi nzima hata wakiamua kila mkuu wa wilaya awe na ndege yake inawezekana
[emoji14] [emoji14] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
 
kwani gari za nyumbu si walisema december 2016 zinaanza kazi, mliopo mjini mnaziona wengine tupo vijijini
 
tuwape muda, watafanya maajabu DUNIA nzima isinzie.
 
upload_2017-5-3_0-9-12.jpeg
 
Je ni kweli taasisi hii ya umma itaanza kuunda ndege 2018? kama ndio juhudi hizi zinapaswa kuungwa mkono maana zitapunguza gharama za kuagiza ndege toka nje

**WAFUATAO WASIWEPO KWENYE KUUNDA HIZO NDEGE, VYETI FEKI**
993 VIWANDA VIDOGO VIDOGO ALLY S HAMISI
994 VIWANDA VIDOGO VIDOGO CHRISTOPHER NDERIA
995 VIWANDA VIDOGO VIDOGO DAVID MAKONO
996 VIWANDA VIDOGO VIDOGO DENIS SOSPITER
997 VIWANDA VIDOGO VIDOGO DEVOTA F. SHAYO
998 VIWANDA VIDOGO VIDOGO EVANCE EDESSY
999 VIWANDA VIDOGO VIDOGO FLORA C LUYENGA
1000 VIWANDA VIDOGO VIDOGO GASTOR W FAUSTIN
1001 VIWANDA VIDOGO VIDOGO GEORGE KASSIAN KOMBA
1002 VIWANDA VIDOGO VIDOGO KOMBO M SAID
1003 VIWANDA VIDOGO VIDOGO LINDA MICHAEL
1004 VIWANDA VIDOGO VIDOGO MARIAM SELEMANI MKOLANJE
1005 VIWANDA VIDOGO VIDOGO NELI M MUNYUGU


SIDO wakifanya kweli hili nitaogelea majini Dar mpaka Zanzibar.
 
hao watengeneze mashine za tofali tu wasitake kutuulia watanzania wenzetu kwa kututengenezea vitu feki
 
Back
Top Bottom