Sie tunasajiri nyie mnatuangalia tu

Usajilli ndio umeanza kelele za nini kibwengo wewe
 
Ukweli ni kwamba ukimya wa Simba kwenye usajili unawaumiza utopolo
Bosi hapa hujasema ukweli!
Yanga mbele kwa mbele,haina muda wa kuhangaika na Simba mambo ni mengi imemaliza usajili, baada ya uchaguzi inaandaa kambi!

Simba wajiandae kwa maumivu tena mwaka huu kampeni ni ile ile unbeaten plus kuipasua Simba na Hersi ameongeza kufika mbali mashindano ya CAF na kujenga uwanja bora Kaunda!
 
Nyie mnasajiri sisi tunasajili
 
Ukweli ni kwamba ukimya wa Simba kwenye usajili unawaumiza utopolo
Kama zeruzeru anavyoumia kwa Mo na Barbra kutojibu matusi na kejeli zake. Kukaa kimya ni jibu zuri sana kwa mpumbavu
 
Manara ndo alikuwa mnafiki anayevujisha siri za simba nyie fanyeni mambo yenu mambo ya simba hayawahusu subirini champion's league ianze muanze kwenda airport kuwapokea wageni wenu.
Ilikuwa kila akienda kugegedwa na Mhandisi anabwabwaja kila kitu.
 
Yaani kuvunja mkataba na vitimu vya ligi kuu ndio UANAUME?

Wanaume wamevunja mkataba wa Aziz KI huko...kumbuka Simba SC walishindwa.

Kwa Moses Phiri nako mulishindwa mkaamua kusubiri mpaka mkataba wake uishe.

Kwa adebayor ndio wala tusizungumze.
Ametangazwa lini huyo aziza :?
 
Inachekesha sana,nyie si mnasajili ? Ya simba yanawahusu nini? Mbona hamna amani? Muda si bado upo..
 
Yaani kuvunja mkataba na vitimu vya ligi kuu ndio UANAUME?

Wanaume wamevunja mkataba wa Aziz KI huko...kumbuka Simba SC walishindwa.

Kwa Moses Phiri nako mulishindwa mkaamua kusubiri mpaka mkataba wake uishe.

Kwa adebayor ndio wala tusizungumze.
Yanga haijawahi kuvunja mkataba wa mchezaji yeyote tofauti na kupewa wachezaji wa mkopo toka as vita na wale waliomaliza mikataba . Wadanganye misukule wenzako.
 
Mbona mnawashwa sana na mambo ya Simba? Kama Simba wasiposajili si ndiyo furaha kwenu , yaani mnalalamikia mambo yasiyowahusu kabisa kama machangudoa fulani vile. Idadi ya wajinga inaongezeka kwa kasi sana huko Yanga sijui mnakula maharage ya wapi nyie misukule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…