ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Usajilli ndio umeanza kelele za nini kibwengo weweMuda utaongea,Yanga na Azam tu ndiyo zimeonekana kama vilabu pekee zenye kujiamini katika kujipanga kuelekea msimu mpya..wakati vilabu vingine vikipigwa butwaa bila hata kujua wafanye nini.tukumbuke safari hii muda wa pre season ni mfupi mno..timu zinatakiwa kujipanga mapema...
Naona kuna kila dalili msimu ujao kuna timu itapigania kumaliza top 4..tupo hapa,wakati ndio huu.
Bosi hapa hujasema ukweli!Ukweli ni kwamba ukimya wa Simba kwenye usajili unawaumiza utopolo
Usajilli ndio umeanza kelele za nini kibwengo wewe
Nyie mnasajiri sisi tunasajiliMuda utaongea,Yanga na Azam tu ndiyo zimeonekana kama vilabu pekee zenye kujiamini katika kujipanga kuelekea msimu mpya..wakati vilabu vingine vikipigwa butwaa bila hata kujua wafanye nini.tukumbuke safari hii muda wa pre season ni mfupi mno..timu zinatakiwa kujipanga mapema...
Naona kuna kila dalili msimu ujao kuna timu itapigania kumaliza top 4..tupo hapa,wakati ndio huu.
Nyani wa pori la Utopolo katika pozi la.kiporipori
Kama zeruzeru anavyoumia kwa Mo na Barbra kutojibu matusi na kejeli zake. Kukaa kimya ni jibu zuri sana kwa mpumbavuUkweli ni kwamba ukimya wa Simba kwenye usajili unawaumiza utopolo
Ilikuwa kila akienda kugegedwa na Mhandisi anabwabwaja kila kitu.Manara ndo alikuwa mnafiki anayevujisha siri za simba nyie fanyeni mambo yenu mambo ya simba hayawahusu subirini champion's league ianze muanze kwenda airport kuwapokea wageni wenu.
Yani wanalalamika kwanini Simba hatusajili,Yani Hawa majamaa kweli ni manyani na ni mbwa.Malalamilko fc, kila kitu nyie ni kulalamika.
Ametangazwa lini huyo aziza :?Yaani kuvunja mkataba na vitimu vya ligi kuu ndio UANAUME?
Wanaume wamevunja mkataba wa Aziz KI huko...kumbuka Simba SC walishindwa.
Kwa Moses Phiri nako mulishindwa mkaamua kusubiri mpaka mkataba wake uishe.
Kwa adebayor ndio wala tusizungumze.
Vibwengo miyeyusho sana, kuchukua makombe tu kelele kibao, usajili mwezi mzima wao wanataka tumalize ndani ya wikihizi hasira za kukosa makombe au ni uzi tu?
Wewe wasemaLigi ikianza utasikia GSM anahonga
Yanga haijawahi kuvunja mkataba wa mchezaji yeyote tofauti na kupewa wachezaji wa mkopo toka as vita na wale waliomaliza mikataba . Wadanganye misukule wenzako.Yaani kuvunja mkataba na vitimu vya ligi kuu ndio UANAUME?
Wanaume wamevunja mkataba wa Aziz KI huko...kumbuka Simba SC walishindwa.
Kwa Moses Phiri nako mulishindwa mkaamua kusubiri mpaka mkataba wake uishe.
Kwa adebayor ndio wala tusizungumze.
Hapo ongeza na chizi morisonHuna akili.
Utopolo hawawezi kuvunja mkataba hata wa CHIDY MCHELENGA wa INSTA UNITED.
KAMBOLE FREE
KI AZIZI FREE
BANGALA FREE
MAYELE FREE
DIARA FREE
TIMU NZIMA FREE
View attachment 2281964
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mbona mnawashwa sana na mambo ya Simba? Kama Simba wasiposajili si ndiyo furaha kwenu , yaani mnalalamikia mambo yasiyowahusu kabisa kama machangudoa fulani vile. Idadi ya wajinga inaongezeka kwa kasi sana huko Yanga sijui mnakula maharage ya wapi nyie misukule.Muda utaongea,Yanga na Azam tu ndiyo zimeonekana kama vilabu pekee zenye kujiamini katika kujipanga kuelekea msimu mpya wakati vilabu vingine vikipigwa butwaa bila hata kujua wafanye nini.
Tukumbuke safari hii muda wa pre season ni mfupi mno, timu zinatakiwa kujipanga mapema.
Naona kuna kila dalili msimu ujao kuna timu itapigania kumaliza top 4..tupo hapa, wakati ndio huu.