Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una akili zaidi ya wengine kama ulivyosema, pambana. Acha Mzee awasaidie hao wengineHabar wakubwa zangu
short story [emoji116]
Mimi ni kijana umri wa miaka 22, nimaliza kidato cha 4 mwaka 2017
Katika familia yetu tupo watatu, dada kaka namimi ni wamwisho.
kaka yangu anamiaka 34 bado anakaa nyumbani, kiukweli hana mbele wala nyuma.
akikosa hela ya pombe anapanga watu waje nyumbani kwamba yeye amekopa sasa miezi imepita hajalipa
wazazi wakilipa, wanagawana wanaenda kula starehe, zikiisha anaiba vitu nyumbani anaenda kuuza, wazee wapo tuuh hawasemi kitu, pia mzee anampa sana mtaji kwa mwaka unaweza hesabu anapewa zaidi ya mara 6 mpaka 7 lakin miezi 3 mingi kauwa mtaji,
POINT SASA
[emoji116] mzee wangu amestaafa hiv karibuni lakini mzee amenitenga mm mtoto wake wamwisho ameenda kumpa tena mtaji yule mwanae wapili wakiume, mzee hataki hata kujadili namimi mambo yakufanya [emoji34]
Kiukwel nimeumia sana, ukiangalia mim ndio ninamaendeleo na akili kubwa sana Kati yawatoto wake wote 3
Naomben ushauli wenu, nimfanyeje kwa uyu mzazi wangu
kama unaakili tafuta mtaji wew mwenyeweHabar wakubwa zangu
short story [emoji116]
Mimi ni kijana umri wa miaka 22, nimaliza kidato cha 4 mwaka 2017
Katika familia yetu tupo watatu, dada kaka namimi ni wamwisho.
kaka yangu anamiaka 34 bado anakaa nyumbani, kiukweli hana mbele wala nyuma.
akikosa hela ya pombe anapanga watu waje nyumbani kwamba yeye amekopa sasa miezi imepita hajalipa
wazazi wakilipa, wanagawana wanaenda kula starehe, zikiisha anaiba vitu nyumbani anaenda kuuza, wazee wapo tuuh hawasemi kitu, pia mzee anampa sana mtaji kwa mwaka unaweza hesabu anapewa zaidi ya mara 6 mpaka 7 lakin miezi 3 mingi kauwa mtaji,
POINT SASA
[emoji116] mzee wangu amestaafa hiv karibuni lakini mzee amenitenga mm mtoto wake wamwisho ameenda kumpa tena mtaji yule mwanae wapili wakiume, mzee hataki hata kujadili namimi mambo yakufanya [emoji34]
Kiukwel nimeumia sana, ukiangalia mim ndio ninamaendeleo na akili kubwa sana Kati yawatoto wake wote 3
Naomben ushauli wenu, nimfanyeje kwa uyu mzazi wangu
Wasiokuwa na akili kama weweWewe una akili zaidi ya wengine kama ulivyosema, pambana. Acha Mzee awasaidie hao wengine
Kwanza, huna haki ya kumpangia mzee wako ni namna gani agawe mali zake. Hizo ni zake na ana maamuzi ya kugawa kwa kadri anavyoona yeye.Habar wakubwa zangu
short story [emoji116]
Mimi ni kijana umri wa miaka 22, nimaliza kidato cha 4 mwaka 2017
Katika familia yetu tupo watatu, dada kaka namimi ni wamwisho.
kaka yangu anamiaka 34 bado anakaa nyumbani, kiukweli hana mbele wala nyuma.
akikosa hela ya pombe anapanga watu waje nyumbani kwamba yeye amekopa sasa miezi imepita hajalipa
wazazi wakilipa, wanagawana wanaenda kula starehe, zikiisha anaiba vitu nyumbani anaenda kuuza, wazee wapo tuuh hawasemi kitu, pia mzee anampa sana mtaji kwa mwaka unaweza hesabu anapewa zaidi ya mara 6 mpaka 7 lakin miezi 3 mingi kauwa mtaji,
POINT SASA
[emoji116] mzee wangu amestaafa hiv karibuni lakini mzee amenitenga mm mtoto wake wamwisho ameenda kumpa tena mtaji yule mwanae wapili wakiume, mzee hataki hata kujadili namimi mambo yakufanya [emoji34]
Kiukwel nimeumia sana, ukiangalia mim ndio ninamaendeleo na akili kubwa sana Kati yawatoto wake wote 3
Naomben ushauli wenu, nimfanyeje kwa uyu mzazi wangu
Sasa unalalamika nini??? Mzee anajua wew huitaji why akupe???Mtaji wann me nina biashara zangu, siijui hata mia ya mzazi wangu kwenye mafanikio yangu
Me siyo mwanae au sio, weit kifuatacho ITVKwanza, huna haki ya kumpangia mzee wako ni namna gani agawe mali zake. Hizo ni zake na ana maamuzi ya kugawa kwa kadri anavyoona yeye.
Pili, umesema una maendeleo na akili. Sasa unahitaji mgao wa mzee kwa kazi gani wakati kuna ambao bado wanahitaji uwezeshaji wa Mzee?
Tatu, endelea kupambania maisha yako na uondoke hapo nyumbani ili usidhurike na mgao wa mzee na wizi wa kaka yako.
Jichunguze, huenda hata mzee kakusitiri, wewe si mwanaye. Shukuru kwa hilo.
Sipati picha hao aliowazidi sasaDogo umetisha ,kuwa kwenu ndio una akili kuliko wote