Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
afande acha utani hela yamafao noma Mana ukiwa kazini hukufanya biashara Sasa imetoka unataka ufanye biashara Mambo kibao wakujisogeza ndo usiseme pia umekua mzee unarudi ujanani kwakasi ,Mambo mengi unavokumbuka kurudi home utulie una milio 2.5 ,,,,,,,ukiulizwa 76 zikowapi ...namadeni unaaza kukumbukahahahahah kama me nipo hawatoboi
Habar wakubwa zangu
short story [emoji116]
Mimi ni kijana umri wa miaka 22, nimaliza kidato cha 4 mwaka 2017
Katika familia yetu tupo watatu, dada kaka namimi ni wamwisho.
kaka yangu anamiaka 34 bado anakaa nyumbani, kiukweli hana mbele wala nyuma.
akikosa hela ya pombe anapanga watu waje nyumbani kwamba yeye amekopa sasa miezi imepita hajalipa
wazazi wakilipa, wanagawana wanaenda kula starehe, zikiisha anaiba vitu nyumbani anaenda kuuza, wazee wapo tuuh hawasemi kitu, pia mzee anampa sana mtaji kwa mwaka unaweza hesabu anapewa zaidi ya mara 6 mpaka 7 lakin miezi 3 mingi kauwa mtaji,
POINT SASA
[emoji116] mzee wangu amestaafa hiv karibuni lakini mzee amenitenga mm mtoto wake wamwisho ameenda kumpa tena mtaji yule mwanae wapili wakiume, mzee hataki hata kujadili namimi mambo yakufanya [emoji34]
Kiukwel nimeumia sana, ukiangalia mim ndio ninamaendeleo na akili kubwa sana Kati yawatoto wake wote 3
Naomben ushauli wenu, nimfanyeje kwa uyu mzazi wangu
Wewe pia unatakiwa ujitambue kijana. Mungu ndiyo hutoa maendeleo na hasa baada ya wewe kujitambua nafasi yako hapa duniani. So amka aja kuwaza vijihela vya baba yako. Kuna watu walishawahi kataliwa na wazazi na leo hii ni matajiri na hao hao baba zao wanabembelezaHabar wakubwa zangu
short story [emoji116]
Mimi ni kijana umri wa miaka 22, nimaliza kidato cha 4 mwaka 2017
Katika familia yetu tupo watatu, dada kaka namimi ni wamwisho.
kaka yangu anamiaka 34 bado anakaa nyumbani, kiukweli hana mbele wala nyuma.
akikosa hela ya pombe anapanga watu waje nyumbani kwamba yeye amekopa sasa miezi imepita hajalipa
wazazi wakilipa, wanagawana wanaenda kula starehe, zikiisha anaiba vitu nyumbani anaenda kuuza, wazee wapo tuuh hawasemi kitu, pia mzee anampa sana mtaji kwa mwaka unaweza hesabu anapewa zaidi ya mara 6 mpaka 7 lakin miezi 3 mingi kauwa mtaji,
POINT SASA
[emoji116] mzee wangu amestaafa hiv karibuni lakini mzee amenitenga mm mtoto wake wamwisho ameenda kumpa tena mtaji yule mwanae wapili wakiume, mzee hataki hata kujadili namimi mambo yakufanya [emoji34]
Kiukwel nimeumia sana, ukiangalia mim ndio ninamaendeleo na akili kubwa sana Kati yawatoto wake wote 3
Naomben ushauli wenu, nimfanyeje kwa uyu mzazi wangu
Kama una akili na maendeleo si uendelee na maisha yako sasa hao wengine achana naoHabar wakubwa zangu
short story [emoji116]
Mimi ni kijana umri wa miaka 22, nimaliza kidato cha 4 mwaka 2017
Katika familia yetu tupo watatu, dada kaka namimi ni wamwisho.
Kaka yangu anamiaka 34 bado anakaa nyumbani, kiukweli hana mbele wala nyuma.
Akikosa hela ya pombe anapanga watu waje nyumbani kwamba yeye amekopa sasa miezi imepita hajalipa
wazazi wakilipa, wanagawana wanaenda kula starehe, zikiisha anaiba vitu nyumbani anaenda kuuza, wazee wapo tuuh hawasemi kitu, pia mzee anampa sana mtaji kwa mwaka unaweza hesabu anapewa zaidi ya mara 6 mpaka 7 lakin miezi 3 mingi kauwa mtaji
POINT SASA
[emoji116] mzee wangu amestaafa hiv karibuni lakini mzee amenitenga mm mtoto wake wamwisho ameenda kumpa tena mtaji yule mwanae wapili wakiume, mzee hataki hata kujadili namimi mambo yakufanya [emoji34]
Kiukweli nimeumia sana, ukiangalia mimi ndio nina maendeleo na akili kubwa sana Kati ya watoto wake wote 3
Naombeni ushauri wenu, nimfanyeje kwa huyu mzazi wangu
Habar wakubwa zangu
short story [emoji116]
Mimi ni kijana umri wa miaka 22, nimaliza kidato cha 4 mwaka 2017
Katika familia yetu tupo watatu, dada kaka namimi ni wamwisho.
Kaka yangu anamiaka 34 bado anakaa nyumbani, kiukweli hana mbele wala nyuma.
Akikosa hela ya pombe anapanga watu waje nyumbani kwamba yeye amekopa sasa miezi imepita hajalipa
wazazi wakilipa, wanagawana wanaenda kula starehe, zikiisha anaiba vitu nyumbani anaenda kuuza, wazee wapo tuuh hawasemi kitu, pia mzee anampa sana mtaji kwa mwaka unaweza hesabu anapewa zaidi ya mara 6 mpaka 7 lakin miezi 3 mingi kauwa mtaji
POINT SASA
[emoji116] mzee wangu amestaafa hiv karibuni lakini mzee amenitenga mm mtoto wake wamwisho ameenda kumpa tena mtaji yule mwanae wapili wakiume, mzee hataki hata kujadili namimi mambo yakufanya [emoji34]
Kiukweli nimeumia sana, ukiangalia mimi ndio nina maendeleo na akili kubwa sana Kati ya watoto wake wote 3
Naombeni ushauri wenu, nimfanyeje kwa huyu mzazi wangu
Wewe una akili zaidi ya wengine kama ulivyosema, pambana. Acha Mzee awasaidie hao wengine
Sasa una maendeleo, una akili kubwa, unataka nini kwa mzazi wako?Kiukweli nimeumia sana, ukiangalia mimi ndio nina maendeleo na akili kubwa sana Kati ya watoto wake wote 3