Sielewi kwanini Diamond aliharibu familia yake

Sielewi kwanini Diamond aliharibu familia yake

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Nimeangalia hii picha kwa kweli nimijikuta natafakari mambo mengi sana....anyway hivi ilikuaje Chibu akakubali kuingizwa King na Manung'ayembe hadi kusababisha hawa watoto wakose malezi ya baba na Mama kwa pamoja....?
kila mwanaume anachepuka but ila kuchepuka hadi kukubali kuharibu familia yako ni upuuzi sana.
Screenshot_20190205-162224.png
 
Mimi sioni kama kaharibu familia yake, kuna watu wapo kwenye ndoa wana watoto nje wanaishia kutoa hela za malezi na kuwaangalia mara moja moja.

Mwanaume kuchepuka ndio asili yetu kuanzia enzi za kina Daudi na Selemani, ila ktk maisha yako yote usiombee uchepuke na mwanamke anaejua kupuliza au kutumia tunguli. Kuna mzee kastaafu lecturer miaka mitatu iliyopita kapukutishwa hela zote karudi kwa mke wake na kabakia na korodani zake.
 
Mimi sioni kama kaharibu familia yake, kuna watu wapo kwenye ndoa wana watoto nje wanaishia kutoa hela za malezi na kuwaangalia mara moja moja.

Mwanaume kuchepuka ndio asili yetu kuanzia enzi za kina Daudi na Selemani, ila ktk maisha yako yote usiombee uchepuke na mwanamke anaejua kupuliza au kutumia tunguli. Kuna mzee kastaafu lecturer miaka mitatu iliyopita kapukutishwa hela zote karudi kwa mke wake na kabakia na korodani zake.
Naandika nafuta naandika nafuta. Wacha nipite tu
 
Mimi sioni kama kaharibu familia yake, kuna watu wapo kwenye ndoa wana watoto nje wanaishia kutoa hela za malezi na kuwaangalia mara moja moja.

Mwanaume kuchepuka ndio asili yetu kuanzia enzi za kina Daudi na Selemani, ila ktk maisha yako yote usiombee uchepuke na mwanamke anaejua kupuliza au kutumia tunguli. Kuna mzee kastaafu lecturer miaka mitatu iliyopita kapukutishwa hela zote karudi kwa mke wake na kabakia na korodani zake.

Hii ID ipo kujaribu kumtetea Dee aonekane hana anayosemwa

Utachoka tu muhusika wewe
 
Mimi sioni kama kaharibu familia yake, kuna watu wapo kwenye ndoa wana watoto nje wanaishia kutoa hela za malezi na kuwaangalia mara moja moja.

Mwanaume kuchepuka ndio asili yetu kuanzia enzi za kina Daudi na Selemani, ila ktk maisha yako yote usiombee uchepuke na mwanamke anaejua kupuliza au kutumia tunguli. Kuna mzee kastaafu lecturer miaka mitatu iliyopita kapukutishwa hela zote karudi kwa mke wake na kabakia na korodani zake.

Lini tena kutumbuiza maaana hata masteji yatamsahau?
 
Lini tena kutumbuiza maaana hata masteji yatamsahau?
Labda humpendi Diamond platnumz, lkn kwa mwaka jana Mondi kafanya show zaidi ya 80, au wewe ulitaka mpaka anguke jukwaani. Sasa anapumzika we miezi miwili ya mwisho kapiga show zaidi ya 15. Steji haiwezi kumsahau sababu ndio kazi yake na anahitaji kupumzika, kutunga nyimbo mpya na style mpya au wewe labda una lako jingine manake hata hao wasanii wakubwa duniani wanapumzika miaka. Ila April Wasafi festival itakuwa ipo Oman.
 
Hii ID ipo kujaribu kumtetea Dee aonekane hana anayosemwa

Utachoka tu muhusika wewe
Kwa hiyo sababu unaona naongea ninachokiamini kiamini mimi ambacho ni tofauti unachokiamini ww ndio unaona na mtetea.

Kwani hao watoto wengine wa zari walilelewa na baba yao? mbona wamekuwa mbali na Ivan na baba yao alikuwa anawatimizia mahitaji yao, sasa Mondi Kuna baya gani kalifanya mmeachana kila mtu hamsini zake mnaangalia malezi ya watoto, kama ilivyo kuwa kwa Ivan.

Sasa unataka mimi niongee utakavyo ww, sasa mimi nitakuwa nani au hicho nilichokiandika ni uongo (prove it).

Nipo hapa jamii forum sipo kwa ajili ya kumfurahisha mtu even though nakubali kukosolewa na mara nyingi niviandikavyo navijujua, nimevishudia na vingine nimevi experience ktk maisha yangu.
 
Back
Top Bottom