Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba baada ya uchaguzi wa Serikali za mitaa tuonane tunywe hata Kahawa 😅😅😅Nilikutana nae kwenye semina fulani mjini, tukiwa tumeketi sambamba kwenye chumba cha semina na hatukua tuna fahamiana kabla.
Maudhui ya semina husika yalianza kufanya tuanze kuzungumza, kulizana mambo mbalimbali na kufahamiana zaidi, na hatimae tukabadilishana hata namba za simu kwa mawasiliano zaidi..
Hakuna tulichokua tumekubaliana kabisa, hususani kuhusu mahusiano ya kimapenzi. Nilimuheshimu mno na kumchukulia kama rafiki wa kike tu, na mwana semina mwenzangu, japo kiukweli anashawishi mno kuangukia dhambini nae, anaita kichizi. Kajaa vizuri sana hapo kati, lakini pia ana sura, ana energy na anavutia sana..
Kilicho nishangaza zaidi,
Ni kitendo chake cha kunikuta nimeketi na mwana semina mwingine wa kike sehemu ya kupata kinywaji na kunifokea kwa ukali huyu ni nani, kiasi kwamba aliekua ameketi nami kabla, kutimua mbio na kutokomea kusikojulikana akihisi huyu mwanasemina anaefoka ni mke wangu, kumbe siyo..
Eti sasahivi kaninunia..
Ladies please,
semeni mapema jamani ikiwa umemuelewa gentleman fulani. Wivu na fujo vyanini na wakati hatujakubaliana chochote kuhusu mahusiano?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Nipo jijini Mkuu, sijui na wewe upo wapi ?Mungu mwema,
Kwa Neema na Baraka za Mungu na iwe hivyo gentleman 🐒
Unauhakika hukuchomeka neno la kichokozi bi dada akakusoma?Nilikutana nae kwenye semina fulani mjini, tukiwa tumeketi sambamba kwenye chumba cha semina na hatukua tuna fahamiana kabla.
Maudhui ya semina husika yalianza kufanya tuanze kuzungumza, kulizana mambo mbalimbali na kufahamiana zaidi, na hatimae tukabadilishana hata namba za simu kwa mawasiliano zaidi..
Hakuna tulichokua tumekubaliana kabisa, hususani kuhusu mahusiano ya kimapenzi. Nilimuheshimu mno na kumchukulia kama rafiki wa kike tu, na mwana semina mwenzangu, japo kiukweli anashawishi mno kuangukia dhambini nae, anaita kichizi. Kajaa vizuri sana hapo kati, lakini pia ana sura, ana energy na anavutia sana..
Kilicho nishangaza zaidi,
Ni kitendo chake cha kunikuta nimeketi na mwana semina mwingine wa kike sehemu ya kupata kinywaji na kunifokea kwa ukali huyu ni nani, kiasi kwamba aliekua ameketi nami kabla, kutimua mbio na kutokomea kusikojulikana akihisi huyu mwanasemina anaefoka ni mke wangu, kumbe siyo..
Eti sasahivi kaninunia..
Ladies please,
semeni mapema jamani ikiwa umemuelewa gentleman fulani. Wivu na fujo vyanini na wakati hatujakubaliana chochote kuhusu mahusiano?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Jijini Mbeya au 😎Nipo jijini Mkuu, sijui na wewe upo wapi ?