SIELEWI KWANINI KANINUNIA

Mkuu naomba baada ya uchaguzi wa Serikali za mitaa tuonane tunywe hata Kahawa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Nipo jijini Mkuu, sijui na wewe upo wapi ?
nipo jimboni muda mwingi, lakini mjini nakuja sana, na hata hivi niko mjini but wakati wowote nanyanyua majeshi jimboni πŸ’
 
Unauhakika hukuchomeka neno la kichokozi bi dada akakusoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…