johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ameitwa na boss wake tatizo liko wapi hapo?!Nadhani mto haja hajasema kukataa ila kasema hajui kaitiwa nini Chato?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameitwa na boss wake tatizo liko wapi hapo?!Nadhani mto haja hajasema kukataa ila kasema hajui kaitiwa nini Chato?
waliokufa zanzibar kwaajili ya kuleta fujo kwenye uchaguzi kwaajili ya maalim seif hao ni sawa na WATU WALIOJINYONGA ingekuwa wako hai wangehukumiwa kwa kujaribu kujiua wenyewe.Sikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?...
Akiwa ccm anageuka mwamba.!!!Mwamba wa Kilimanjaro ni Halima James Mdee!
Hebu tembeleeni hapa muone umuhimu wa maridhiano abayohata Mbowe alitamani yawepo huku bara, lakini Magu kashupaa.Katika Siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
Pia shabiki wa siasa hatakiwi kukaza shingo sana... ataumia huku akiacha wanasiasa wakigonga mvinyo!
Baada ya Waziri wa Outside wa China kuja na Kichanjio cha Deportivo la Corona ilibidi wale VIP's wote na Wake zao wakaipate kutokea Lake Zone.Sikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?....
Hili nalo neno la kutafakariBaada ya Waziri wa Outside wa China kuja na Kichanjio cha Deportivo la Corona ilibidi wale VIP's wote na Wake zao wakaipate kutokea Lake Zone.
Kwanini aliwasaliti na kuwaingiza watu kwenye vifo wakati akjua ataungana na magu kuliponya Taifa?Maalim ni makamu wa Rais, yupo serikalini... mwacheni atekeleze majukumu ya kiofisi.
Sawa ni ujinga lkn hujajibu swali.... avoid ad hominem arguments!Ujinga mtupu bwashee.
Wewe unadhani Freeman Mbowe angeitwa Chato angekataa?
Mpaka 2025 Maalim atakuwa above 80 years sidhani kama atakuwa na nguvu tena ya kusimama jukwaani kwani hata sasa ameshajichokea anatembea kama amekata center bolt. Ila amewauza kinyama Wapemba sidhani hata akijikongoja kugombea kama kuna mtu atamsikiliza na kumpa kura yake.Sikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?..
Ni hilo tu wala hana hoja nyengine.Ni aibu mzee kama yule kuwa mwanaharakati wa migomo na maandamano, kaamua kutulia mezani kula alichotengewa
Hoja mezani ni Maalim. Ndiyo maana watoto wa siku hizi mnashindwa mitihani kiboya sana.Endelea kumwamini Mbowe, atakuvusha.
Uko sahihi kabisa, he is a spent force... alijua hatagombea tena akaona ngoj apate vinofu vya mwisho..Mpaka 2025 Maalim atakuwa above 80 years sidhani kama atakuwa na nguvu tena ya kusimama jukwaani kwani hata sasa ameshajichokea anatembea kama amekata center bolt. Ila amewauza kinyama Wapemba sidhani hata akijikongoja kugombea kama kuna mtu atamsikiliza na kumpa kura yake.
Kuna muda lazima uangalie maasha yako mwenyewe,kama huku bara Lissu alivyohitisha maandamano kila mtu aliangalia masilahi ya familia yake mtu akaona anaweza kwenda akatiwa ulemavu halafu akashndwa kuitunza familia yake hasara kwake.Uko sahihi kabisa, he is a spent force... alijua hatagombea tena akaona ngoj apate vinofu vya mwisho..
Yule wa Ruangwa Yeye kwakuwa hivi sasa yupo sana Field ( japo muda mwingi huwa yupo Dodoma ) kapelekewa huko huko Shea yake achanjwe.Hili nalo neno la kutafakari
ulitaka akakutane na lissu alie nje ya nchi ama mzalendo aliepo nchini kwakeSikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?...
Tutajua mengi kati yao hawa jamaa wawili yaani Maalif Self na Prof Lipumba - nani nani kaisaliti CUF na kuigeuzia shingo kibraSikupata jibu na niliwaza sana kilichompeleka Maalim Seif Ikulu kukutana na Magufuli ni nini?...