multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,034
- 577
HAHAHAAAAAAAAAAA! (Nimecheka kwa herufi kubwa! Take note!) JOTO HASIRAAAAAA Limekukaba kooni! We lima tu huko kwenye kata maana hata wilayani unakusikia, sie tutanunua bana!
DONT HATE THE PLAYER! HATE THE GAME!!!!!!!!
Tatizo mtu kamaliza six kapigana weeeeeeeeee kapata chumba Hall 3, kamaliza na kaapasekandi kake, katongozwa na kimei,
basi akisikia mkoa, ooooohhhh ndani ya masaa 24, njoo Namanyere wewe hakuna nondo wala kutu!