multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,034
- 577
HAHAHAAAAAAAAAAA! (Nimecheka kwa herufi kubwa! Take note!) JOTO HASIRAAAAAA Limekukaba kooni! We lima tu huko kwenye kata maana hata wilayani unakusikia, sie tutanunua bana!
DONT HATE THE PLAYER! HATE THE GAME!!!!!!!!
Watafuta beef na watu wa AR wewe! Shauri zako. Najua macharlie wa AR watakujibuArusha ukiwa na gorofa 2 basi we bilionea, Dar kuna watu wana magorofa 10 k.koo na sehemu zingine anaonekana wa kawaida tu
.......... Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG!.......
Duh!! Hivi arusha ina ukubwa gani(wa eneo)?naona watu wa dar (sijui ndiyo wanaitwa wazaramo wote?) Wameishupalia shingo kweli kweli,ila nilichoona ni kuwa hata hizo fursa zilizoko dar nyingi zinaletwa na watu kutoka mikoani na nje ya nchi,wengi waliojenga hayo magorofa sjui ya k'koo ni wahindi,wachagga,na wapemba,mdarisalaam(original)amepewa tu kivuli chini ya gorofa la mangi ili amwage michaja yake ya kichina ajikimu na maisha na kupata chenji kidogo ya bundle la internet aje Jf kuwakashfu haohao kina mangi waliompa kivuli,halafu eti dada @Lara1 mbona hujaelezea categoricaly ni wenye sifa gani tu ndiyo waje dar? Ni hao wenye Cpa,MBA,tu? Au hata wakulima wa mihogo kule namtumbo waje na majembe yao?Arusha ukiwa na gorofa 2 basi we bilionea, Dar kuna watu wana magorofa 10 k.koo na sehemu zingine anaonekana wa kawaida tu
Arusha ukiwa na gorofa 2 basi we bilionea, Dar kuna watu wana magorofa 10 k.koo na sehemu zingine anaonekana wa kawaida tu
Guys wafanyabiashara wengi wa kariakoo siku mfumo wa ukusanyaji kodi ukiwa sawa wengi watatoka kwenye biashara.. Na Kuna wafanyabiashara wengi tu ndani ya mwaka huu watatoka kwenye gemu kama kweli vita ya madwa ya kulevya itapiganwa vizuri..
Vijana pamoja na kupenda fedha ila lazima tuangalie tunazipata vipi.. KAMA KWELI MTU UNATAKA KUFANYA BIASHARA HALALI IKIWA NI PAMOJA NA KULIPA TOZO ZOTE ZA SERIKALI BILA UJANJA UJANJA.. huwezi kuwa na jicho DAR NDIO KWENYEWE... Utakuwa na jicho kubwa zaidi la kuona fursa sehemu nyingine... TATIZO WENGI TUNAJIBANA KWA SOKO LA NDANI(eneo usika). ILA UKIANGALIA SOKO HATA LA NCHI JIRANI, DAR NINA UHAKIKA HALITAKUWA CHAGUO LAKO LA KWANZA
Hivi watu tunatafuta fedha ili iweje... KWA MTU KUISHI SEHEMU ZA KUJIBANA.. MABONDENI.... MAJI TATIZO... FOLENI BALAA NI MAISHA MAZURI...
JIULIZE MUWEKEZAJI ANAYETOKA ULAYA AU AMERIKA ANAKUJA KUWEKEZA TANZANIA NA MARA NYINGI SANA HATA SI MIKOANI NI WILAYANI KABISA.. kwao hakupata hizo changamoto unazozitaja dar.. AU LONDON NEW YORK NA MIJI MIKUBWA HUKO HAKUNA WATU WENYE HELA KAMA DAR...
Muhimu usijifunge kwa mawazo mgando... WATU SEHEMU FULANI KURIDHIKA HAPAKUFANYI WEWE KURIDHIKA NA WALA HAPAKUNYIMI KUZITUMIA FURSA....
lara 1 naona kama unazidi kujichanganya,kama suala ni kutaniana nilitarajia mwisho wa hiyo comment ya huo utani uweke neno LOL(Lough not loud). Kumbuka sisi kama wasomaji tunafuatilia thread mwanzo mwisho ili kupata kitu chenye manufaa kwa Taifa letu. Kindly,elewa tu kuwa kutokana na wewe kuleta thread zenye kuhusu maisha ya Tanzania,so nataka next time uwe makini,
ho-ho-hold a minute. whaaat?
pombe? Mungu?
Acha uongo mchana kweupe wewe unaijua Dar au ndo mliokuja kusoma mkaganda na ajira ya mshara kipato chini ya 2M kwa mwezi halafu unapiga kelele hapo!!!!
Unaijua Kariakoo au unapita mitaani tu kwa shughuli zako??!!!
Hebu ingia Sikukuu,mchikichi,Tandamti,Narung'ombe,Mahiwa na kwingineko ukiza bei ya nyumba ya mti na udongo halafu uje useme hapa!!!!
Ukimaliza katafute bei ya kuandaa msingi wa ghorofa nane tu then ulete majibu!!!
Huyo mtu mwenye ghorofa tatu hapo Kariakoo wanajulikana kwa majina we vitu kama sleep inn hapo upite na ujidai chizi eti ni kawaida saaaaana huku ukiona Luma Clar- Biography unashangaa!!!!!
Stereo type ya kusema Dar mtu akiwa na maghorofa kumi ni wa kawaida hayo ni maneno ya watu wasiojua pesa na hawaok katika game kwa hiyo hamjui gharama ya majengo!!!!!
Dar is just a modern city where ppo dont pay shit on no bodyz bussiness just like in any other organic state because the strings are loose and very personified!!!!!!!
he he he hii vita ya ARUSHA vs DAR....
ho-ho-hold a minute. whaaat?
pombe? Mungu?
mie naprefer mikoani,quality of life iko poa unaridhika hata ukiwa bwana shamba wa kijiji:love: dar vikumbo vingi foleni,maji ya shida etc
.Maji ya shida wapi wewe, dar watu hawategemei serikali iwaletee maji wanajifanyia drilling ndani ya mageti yao... Maisha yanaendelea.. Watu hawana muda wa kuandamana kisa maji wakati engineers wa visima wapo