Siendi Mkoani Ng'ooo!! Dar es salaam is the future! Mikoani ni didimizo la uchumi binafsi

Siendi Mkoani Ng'ooo!! Dar es salaam is the future! Mikoani ni didimizo la uchumi binafsi

IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.

BACK TO TOPIC

Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!

3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!

Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!

Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!

Karibuni kwa HOJA ZENU!

You are a star lara1. You real are! Yaani umekata nyanga za kufa mtu. Ukweli mtupu, mifano hai na hakuna kumung'unya maneno.....This has inspired me a lot.
 
Ni kweli, japo sio kweli sana.
Tatizo lako @lara1 huwa unaandika maneno meeengi kitu kidogo, jaribu kuwa unafupisha utusaidie tunaoingia kwa kuiba dakika chache za kazi
 
Ni kweli, japo sio kweli sana.
Tatizo lako @lara1 huwa unaandika maneno meeengi kitu kidogo, jaribu kuwa unafupisha utusaidie tunaoingia kwa kuiba dakika chache za kazi

Huyu demu aloleta uzi akili anazo sana tu sema na imani kubwa sana hua hafanyii kazi mawazo yake! pengine hana wakumuongoza,. Kama mafanikio maishani yangekua sawa na mitihani ya darasani kuandika kwenye makaratasi basi angesha fankiwa,! Mungu amsaidie aweze kufanya mawazo yake kua katka vtendo!
 
Lara 1 mtizamo wako umeuangalia upande mmoja tu! Yapo matatizo mengi ambayo ukiyafahamu yanaweza kuubadirisha mtizamo wako juu ya Dar Es Salaam.

1. Dar Es Salaam tunalikubali kuwa nini Jiji maarufu sana Tanzania ila kuna mambo mengi yanayolifanya lionekane kuwa si Jiji zuri sana kuishi,moja wapo ya tatizo kubwa kwa Dar ni kuporomoka kwa maadili kitu ambacho kinafanya Jiji hili kuwa siyo sehemu nzuri ya kufanya makazi na kulelea watoto wetu.
Kwa mfano kushamiri kwa biashara ya UKAHABA kwa sehemu kubwa ya Jiji hili inatia kinyaa! Siku moja nilikwenda Dar Live kuangalia Wasanii waliokuwa wana tumbuiza pale, kabla sijafikia Dar Live mwenyeji wangu alikuwa amesimama upande wa pili wa barabara karibu na Bar moja inaitwa MASAKUU BAR sehemu maarufu sana pale Mbagala Zakhiemu,nilipofika pale baada ya kuitwa na mwenyeji wangu niliyoyaona yalinisikitisha sana,niliwakuta mabinti wadogo sawa na watoto wangu wako busy kuuuza miili yao nilishangaa sana kwa sababu mambo kama hayo tulizoea kuyasikia yanafanyika sana Mitaa ya OHIO na sehemu kama KINONDONI na SINZA kumbe hata MBAGALA?
Lakini baada ya kutafakari sana nilikuja kugundua kuwa ugumu wa maisha unaochangiwa na usugu wa mawazo wa watu wengi kuona kuwa Dar ni sehemu tosha ya kupata maisha yao kwa urahisi kama unavyofikiri ndugu yangu Lara 1.

2.Kero ya usafiri asubuhi wakati wa kwenda Mjini au sehemu nyingine yoyote kama Hospitali,Shule na Sokoni na wakati wa kurudi kutoka sehemu hizo pia unachangia kufanya Dar kuwa siyo sehemu nzuri ya kuishi.

3.Dar inaongoza kwa uchafu kuliko Majiji mengine yote ya Tanzania,mifuko ya rambo imezagaa kila kona ya Jiji na Wakazi wa Dar hawaoni kuwa Jiji lao ni chafu.

4.Dar haina mpangilio mzuri wa Makazi kila mtu anajenga anavyotaka tena bila utaratibu,ukitembelea maeneo ya TABATA,VINGUNGUTI,MBURAHATI,KIGOGO,MANZESE,MBAGALA ni shida tupu

5.Mifumo mibovu ya maji taka na maji safi inafanya pia Dar kuwa siyo sehemu nzuri ya kuishi ingawa matatizo yote haya Wakaazi wa Dar wanayafumbia macho na kujifanya hawayaoni kumbe matatizo yapo na kila siku yanazidi kukua.

6.Gharama za maisha kwa Dar ni kubwa mno ukilinganisha na sehemu zingine zote kama Mbeya,Songea,Morogoro na sehemu za mikoa mingine.
Kwa ujumla wake Dar Es Salaam hapafai kuishi kama unataka kuilea familia yako kwa maadili mazuri. Dar kama hauna kipato kuishi ni kama JEHANAMU maaana kila siku utawaona wenzako wanafaidi maisha na wewe hauna kitu hali inayopelekea Dada zetu kujiingiza kwenye biashara ya kuuza miili yao halikadhalika na Vijana wa kiume pia kujiingiza kwenye biashara hiyo! Shime ndugu zangu murudi vijijini kwenu muanzishe miradi ya Kilimo cha mboga mboga mazao mengine ya chakula na ufugaji ambao unaweza kukutoa kwa muda mfupi sana.
 
Uko sahh,kuna baadhi ya mikoa haina fursa na mtu hupat changamoto za kimaisha kabisa..
 
hiyo ndo fact, mi mweneyew nshaendaga ku hustle mkoa kwa muda flani ila nkaona kule akili inakua km imesinzia na chaangamoto hakuna, na watu wanaokuzunguka wanaoana we ndo mkalii wkt we unajiona bado sanaaa
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu! You may agree to disagree! Ila jamani tutunze staha na ustaarabu wetu! Tuwe wavumilivu na ubishi uwe wa hoja tu si kutukanana! Aksanteni.

BACK TO TOPIC

Naomba nieleweke sisemi mikoani ni kubaya ama hapafai kuishi all i am saying is the future is brighter in Daresalaam, kuliko mikoani. Kwa mambo mengi Jiji la Wazaramo limetishaaaa!!! Siropoki tu ama kuleta ushabiki nina grounds zangu za kutoa hii hoja binafsi, kwanini huning'oi mjini hata kwa greda!

1. Mkoani watu wamerizika ila Dsm chochote utakacho achieve WE BADO SANAAAAAAA! People are moving mountains. Mkoani mtu akiwa na nyumba 2, magari 2, anaheshimika si kitoto na anahesabika kati ya wenye uwezo. Ila mjini unaweza kuwa hata na commercial buildings 3 ila kwenye list hata hujanukia kuwamo! Kabisaaaa! So huku DSM haurelax, ni mpambano 24/7. Ofisini ukianza ujenzi wa tubanda twako, utasikia flani ana ghorofa 2, na amenza kujenga commercial! Unabakia Whaaaaaaaat? Kumbe mimi bado sanaa eeeh? Unakaza buti. Ukijikamua kupeleka mtoto IST, unasikia jirani yako kapeleka U.K au U.S Orange Country huko. WITH THE CITY IT IS NEVER ENOUGH!!! Ila mkoani watu wanakusifia unajiona umefikaaa, ukistuka ushazeeka. Kama unabisha jiulize ulivotoka jijini kwenda shamba watu uliowaacha wako wapi na wewe uko wapi?

2.Mji COMPETITION IS TOUGH! DEADLY! Ukiwa mkoani una C.P.A wewe bonge ya bosiii! Mkuu wa branch. Mjini C.P.A kama 30 hivi ofisi moja, na wenzio sio tu kuwa ni C.P.A bali hadi CIMA, CFA, ACCA, MBA, hadi Cerificate za law humo humo, degree 3! Yaani usifikiri na hivo vyeti wamepozi wanakungoja uwafikie? Nooooooo! Wanaongeza continuously, graduation baada ya graduation. Yaani hadi ushinde competition ulimi unaning'inia hoi bin taaban. Automatically unajikuta una aspirations kubwaa, sky is the limit, unajiburuzaje usiachwe nyuma? In the end unajikut na wewe ni somebody! Ila mkoani CPA kila mtu anakuita Bosi, basi na wewe unajiona bosi kweli kweli unabweteka. Matokea yake ulioanza nao unasikia wako UN! IMF! US EMBASY! Unabakia nilisomaga nao wale! You remain wondering how you became second rated in life since mligraduate wote UDSM, BCOM, Accounting 2004!!!!!! Tena wewe ulikuwa kipanga wao!

3. Life is damn expensive!!!!! Money is never enough! Akili inakuchemkaa utapataje hela zaidi! Comforts zinageuka luxury matokeo yake suala la kusaka pesa unaligeuza Vita vyako binafsi! Huku umeajiriwa, utawaza biashara, utawaza kila kitu ilimradi jiji lisikushinde. In the end you become a master wa kusaka mahela hadi unatoboa! I got a friend ni Monitoring and Evaluation Manager wa NGO kubwa tu, hapo hapo ana ki NGO chake, hapo hapo Analima kilimo mkoa huko, hapo hapo ana Kampuni, na juzi kapata U Country director NGO ingine anahama kule! Kote huko kupambana na bills na kuokota kila senti. We mkoani ukiwa kwenye NGO kubwa tu, hio pesa life ilivo affordable utapanga li mansion na kuwa mtu wa kuheshimika hadi basi!

4. Fursa hapa mjini ni nyingi mnoooo! Sijui hata nianzie wapi kwenye hili! I have a cousin, aligraduate 2010 ila pasi zake hazikuwa nzuri so akapewa hela na uncle mkopo wa 5m atafute ustaarabu, sio mtu na degree kula kulala tu. Akafungua ki pub tu local na fremu ya pembeni akawa anauza pombe reja reja wine, wisky na vingine. Mungu kambarikia the business is now BIG! Kalipa 5m za watu na naprofit ya laki 6 daily akitoa cost zote duka limekuwa la jumla sio rejareja tena. Na pub ameitanua imekuwa bar. Wala hatafuti kazi tena! Kazi gani utalipwa laki 6/day? Mjini ukiwa na ubongo kidogo tu, hakuna linaloshindikana.

5. Ukiwa mjini unakuwa na VISON KUBWA! BIG DREAMS! BIG AMBITIONS! BIG ASPIRATIONS! SKY IS THE LIMIT! Yaani people always look at the BIGGER PICTURE! Kwa jinsi mambo yanavoenda race automatically you think of next century like tomorrow! Dogo tu nilimuuliza ukiwa mkubwa utajenga nyumba? Akanijibu nani ajenge nyumba? sijengi nyumba najenga GHOROFA!!!!!! And he is like 8yrs! Small Boy Big thoughts!!!! (Zikiwa kubwa sanaa ndo wanauza sembe na meno ya tembo!) Jirani yangu alikuwa FN manager multinational moja, mshahara 4m na nini, akaacha baada ya miaka kadhaa tu! Kila mtu anamwambia kijana umebugi men! Kuresign ni blander kubwa uliyoifanya! Akawaambia No! Mi sikwenda pale like niwe nimeajiriwa pale like forever! Mpaka nizeeke! Mi nilienda kutafuta MTAJI! Baaaaaaaass! Nyie 3M mnaiona ya maana sanaa bt sio, kwa mwaka its approximately 36m, of wish i wanna make that per month or 2. Hio 36, ukitoa expenses na mda ninaoshinda ofisini, saving ni marginal sanaa! Siku hizi ana yard ya magari, analima huko mkoani, na ku import mavitu toka china! Ametajirika 20 times QUICKER, kuliko alivokuwa multinational. And he is only 34. HE SAW THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!

Bottom line is kama unaweza rudi DSM ucheze na BIG BOYS in the CHAMPIONS LEAGUE!!! ILa kama imekubidi kukaa mkoani usiwaze kimkoa mkoa! THINK BIG ki darisalma darisalama! Ukijihisi umetoka kimaisha njoo town upimishane na uliowaacha ubavu! Itakusaidia kutokurizika na kubakia nyumaaa!

Having said that may i also stress that MAISHA POPOTE! WEWE TU NA AKILI YAKO! ni msemo wenye nguvu ila hufifizwa na mazingira na attitude ya watu waliokuzunguka!

Karibuni kwa HOJA ZENU!

Nami siendi mikoani mambo yote hapahapa mwanza
 
Hata me naona hilo,nilikaa Geita napiga mishe nalipwa vizuri kuliko navyolipwa sasa hivi Dar ila niliondokd nipo dar na sitaki tena kurudi mkoani...
 
Watu kama nyie huwa hamkosi, make kunawengine hadi walishajenga bifu na mvua! Ikinyesha mvua tu wanavuta midomo make wanajua ni muda wa wao kuwa samaki kwenye makazi yao lakin bado wanakuambia hawahami ng'o!
Mwingine unakuta hata kupunzika vya kutosha hamna make saa 11 asubuhi kashashika bomba kwenye daladala wakati mie ndo nasubiri saa 12 nisikilize amka na bbc na kisha magazeti, ukimkuta anatembea na kakitambaa anajifutafuta kutwa nzima teh! lakin anakuambia ahami ng'o!
 
Huwezi amini wafanyakazi wengi wa Geita wanaishi dar hasa wa mgodini na mara kibao hufunga safari karibu kila wiki wakipata off tu.Dar kuna utamu wake bhana...

Ni walimbukeni wenzio, 'nang'atuka naenda kuishi butiama' Nyerere.
 
Back
Top Bottom