Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Rais Julius Maada Bio ametaja maandamano dhidi ya Serikali yaliyotokea Jana, Agosti 11 nchini humo kuwa ni vitendo vya kigaidi vinavyochochewa na Raia wanaoishi nje ya Nchi
Takriban watu 130 wametiwa mbaroni katika maandamano hayo ya kumshinikiza Rais huyo kujiuzulu , kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, rushwa na ukatili wa uliokithiri wa Polisi
Aidha vikosi vya usalama vimetumwa katika Mji Mkuu wa Freetown baada ya Serikali kutangaza amri ya Marufuku ya Kutotoka kwa Nchi nzima
.................................
Sierra Leonean President Julius Maada Bio has described anti-government protests in the country as acts of terrorism instigated by agitators living abroad.
About 130 people have been arrested in the demonstrations in the capital, Freetown, and in the opposition's northern stronghold over the high cost of living, corruption and police brutality.
President Bio, who had travelled out of the country, has returned and told the BBC that the protests had a political motive.
"Of course what happened yesterday was definitely not a protest, it was terrorism at the highest. We have a few Sierra Leoneans who live in the diaspora who have threatened to unleash terror in Sierra Leone," he said.
"There is politics underneath all that is happening and you can't take that away," he added.
Calm has returned to Freetown, the president said, and security forces have been deployed to make sure that there is no further deterioration in the situation.
Source: BBC
Takriban watu 130 wametiwa mbaroni katika maandamano hayo ya kumshinikiza Rais huyo kujiuzulu , kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, rushwa na ukatili wa uliokithiri wa Polisi
Aidha vikosi vya usalama vimetumwa katika Mji Mkuu wa Freetown baada ya Serikali kutangaza amri ya Marufuku ya Kutotoka kwa Nchi nzima
.................................
Sierra Leonean President Julius Maada Bio has described anti-government protests in the country as acts of terrorism instigated by agitators living abroad.
About 130 people have been arrested in the demonstrations in the capital, Freetown, and in the opposition's northern stronghold over the high cost of living, corruption and police brutality.
President Bio, who had travelled out of the country, has returned and told the BBC that the protests had a political motive.
"Of course what happened yesterday was definitely not a protest, it was terrorism at the highest. We have a few Sierra Leoneans who live in the diaspora who have threatened to unleash terror in Sierra Leone," he said.
"There is politics underneath all that is happening and you can't take that away," he added.
Calm has returned to Freetown, the president said, and security forces have been deployed to make sure that there is no further deterioration in the situation.
Source: BBC